Kila seehemu kuna vichaaNape kama Nape.
Hivi kwa nini bado mnampa Airtime huyu mtu?
Anafaa kuachwa mbali kabisa na uso wa waTanzania.
Huu ni upumbavu mkubwa mliokuja nao Chadema kwa sasa!Gekul ametumbuliwa unaibu waziri baada ya kutenda yasiyofaa katk jamii. Ni sawa.
Vipi huyu anayetukana watu hovyo kama mlevi? Ni sawa kuendelea kukikalia kiti cha uwaziri au aondolewe?
Waziri ni kioo cha rais. Sasa kama kila siku waziri anatukana hovyo mitandaoni tafsiri yake ni kwamba anamchafua mhe rais.
View attachment 2842446
N.B. Naomba ndugu msomaji utuwekee tusi jingine alilolitoa Nape.
Achana na hawa wapumbavu waliojaa visasi 7×4×12Alitukana lini?
Yanazungumzika!Gekul ametumbuliwa unaibu waziri baada ya kutenda yasiyofaa katk jamii. Ni sawa.
Vipi huyu anayetukana watu hovyo kama mlevi? Ni sawa kuendelea kukikalia kiti cha uwaziri au aondolewe?
Waziri ni kioo cha rais. Sasa kama kila siku waziri anatukana hovyo mitandaoni tafsiri yake ni kwamba anamchafua mhe rais.
View attachment 2842446
N.B. Naomba ndugu msomaji utuwekee tusi jingine alilolitoa Nape.
Nape aende!Gekul ametumbuliwa unaibu waziri baada ya kutenda yasiyofaa katk jamii. Ni sawa.
Vipi huyu anayetukana watu hovyo kama mlevi? Ni sawa kuendelea kukikalia kiti cha uwaziri au aondolewe?
Waziri ni kioo cha rais. Sasa kama kila siku waziri anatukana hovyo mitandaoni tafsiri yake ni kwamba anamchafua mhe rais.
View attachment 2842446
N.B. Naomba ndugu msomaji utuwekee tusi jingine alilolitoa Nape.
Kuna nchi nilikuwa nimeenda miaka ya huko nyuma na nilipita karibu na duka fulani lenye jina "Anything Goes" na hili jina lina maana hata hapa kwetu.Vipi huyu anayetukana watu hovyo kama mlevi? Ni sawa kuendelea kukikalia kiti cha uwaziri au aondolewe?
Waziri ni kioo cha rais. Sasa kama kila siku waziri anatukana hovyo mitandaoni tafsiri yake ni kwamba anamchafua mhe rais.
View attachment 2842446
N.B. Naomba ndugu msomaji utuwekee tusi jingine alilolitoa Nape.
Tusi liko wapi hapo?Gekul ametumbuliwa unaibu waziri baada ya kutenda yasiyofaa katk jamii. Ni sawa.
Vipi huyu anayetukana watu hovyo kama mlevi? Ni sawa kuendelea kukikalia kiti cha uwaziri au aondolewe?
Waziri ni kioo cha rais. Sasa kama kila siku waziri anatukana hovyo mitandaoni tafsiri yake ni kwamba anamchafua mhe rais.
View attachment 2842446
N.B. Naomba ndugu msomaji utuwekee tusi jingine alilolitoa Nape.