Wazazi ambao mna watoto wanasoma Day hasa kwa jiji la Dar mjitahidi sana kuwafatilia.
Watoto wa shule za msingi na sekondari wanacheza Michezo ya hela(vibati),
Wanacheza vindege(aviator)
Wanaachiwa bodaboda dayworker
Wanafanya vitu kibao ambavyo ni vya juu ya umri wao,
Jitahidin jamani muwafatilie watoto wenu.