Naomba mawazo yako kwenye hili

Naomba mawazo yako kwenye hili

Habari, hii ni habari ya kweli kabisaa, niliunganishwa na best friend wangu katika kazi Fulani, nilifurahi Sana kutokana na wakati huo nilikuwa na uhitaji wa kazi.

Rafiki yangu hiyo naweza sema.ni mtummwenye moyo wa kipekee Sana maana,kibongobongo ni ngumu rafiki kukupeleka sehemu yenye ulaji aliyopo yeye pia.

To cut the story short,tulifanya kazi pamoja Kwa muda Kama wa miezi sita katika kampuni hiyohiyo, baadae ikatokea wanapunguza wafanyakazi na rafiki yangu akawemo katika kundi Hilo na Mimi nikabaki.

Niliumia Sana kutokana na Hilo, but niliahidi kuwa pamoja Naye katika shida na raha kwa kadri ya uwezo wangu.nikitoa kiasi Cha pesa Kila mwisho wa mweZi kupatia yeye Kama shukurani tu.

Ikatoakea mweZi mmoja sikumpatia kiasi Cha pesa Kama ilivyokawaida kutokana na mm kubanwa ,kulipa Kodi,kusomesha mdogo wangu na vingine vingi,nikamweleza jinsi ilivyo.

Baada ya kumuelez ahivyo, alikasirika sana na kuniporomoshea matusi, ikiwepo na kwamba nimejiona nimefika, na bila yy nisingejuwa hiyo kampuni.nilimsihi Sana na kumwambia kwamba natambua msaada wake.

Wakuu imefikia hatua mpaka natamani kuacha hiyo kazi kwajinsi anavyonisimanga Kwa ndugu jamaa na marafiki.mpaka tunaandiak hapa mm na rafiki yangu hiyo ni Kama paka na panya, amenijengea chuki ya ajabu nashindwa nifanyeje.

Naomba mawazo yenu nifante nini ,maana najiona kama.mtumwa kupitia kazi hii.
Muunganishe na yeye Tena


Na unahisi kwa nn katolewa
 
Habari, hii ni habari ya kweli kabisaa, niliunganishwa na best friend wangu katika kazi Fulani, nilifurahi Sana kutokana na wakati huo nilikuwa na uhitaji wa kazi.

Rafiki yangu hiyo naweza sema.ni mtummwenye moyo wa kipekee Sana maana,kibongobongo ni ngumu rafiki kukupeleka sehemu yenye ulaji aliyopo yeye pia.

To cut the story short,tulifanya kazi pamoja Kwa muda Kama wa miezi sita katika kampuni hiyohiyo, baadae ikatokea wanapunguza wafanyakazi na rafiki yangu akawemo katika kundi Hilo na Mimi nikabaki.

Niliumia Sana kutokana na Hilo, but niliahidi kuwa pamoja Naye katika shida na raha kwa kadri ya uwezo wangu.nikitoa kiasi Cha pesa Kila mwisho wa mweZi kupatia yeye Kama shukurani tu.

Ikatoakea mweZi mmoja sikumpatia kiasi Cha pesa Kama ilivyokawaida kutokana na mm kubanwa ,kulipa Kodi,kusomesha mdogo wangu na vingine vingi,nikamweleza jinsi ilivyo.

Baada ya kumuelez ahivyo, alikasirika sana na kuniporomoshea matusi, ikiwepo na kwamba nimejiona nimefika, na bila yy nisingejuwa hiyo kampuni.nilimsihi Sana na kumwambia kwamba natambua msaada wake.

Wakuu imefikia hatua mpaka natamani kuacha hiyo kazi kwajinsi anavyonisimanga Kwa ndugu jamaa na marafiki.mpaka tunaandiak hapa mm na rafiki yangu hiyo ni Kama paka na panya, amenijengea chuki ya ajabu nashindwa nifanyeje.

Naomba mawazo yenu nifante nini ,maana najiona kama.mtumwa kupitia kazi hii.
Wanasema palipo na chuki wema ulitangulia na kumbuka binabamu wote tu wabinafsi kiwango ndo hutofautiana ndo maana hakuna anayeweza kufurahia mafaniko yako kwa asilimia mia moja.
Kwa maelezo yako inaonesha msongo wa mawazo ndo unamsumbua, sidhani kama huyo Rafiki yako ni mbaya kiasi hicho ila cha kushauri usimpe tena pesa fanya jitihada mtafutie kazi, ikishindikana mwachie Mungu yeye ndo hujua hatima ya kesho.
 
Mimi niliungwa na ndugu baadae nikaanza kuona napewa majukumu na kuombwa pesa kila muda nikisema sina Basi Ni lawama na maneno mabaya yanayovunja moyo nikaacha Ile kazi nikaanza biashara yangu ikawa afadhali.
 
Wanasema palipo na chuki wema ulitangulia na kumbuka binabamu wote tu wabinafsi kiwango ndo hutofautiana ndo maana hakuna anayeweza kufurahia mafaniko yako kwa asilimia mia moja.
Kwa maelezo yako inaonesha msongo wa mawazo ndo unamsumbua, sidhani kama huyo Rafiki yako ni mbaya kiasi hicho ila cha kushauri usimpe tena pesa fanya jitihada mtafutie kazi, ikishindikana mwachie Mungu yeye ndo hujua hatima ya kesho.
Ndu sina connection yoyote Kama aliyokuwa nayo yeye, zaidi huwa namfowadia tu matangazo ya kazi nikiona linamfaa
 
Wanasema palipo na chuki wema ulitangulia na kumbuka binabamu wote tu wabinafsi kiwango ndo hutofautiana ndo maana hakuna anayeweza kufurahia mafaniko yako kwa asilimia mia moja.
Kwa maelezo yako inaonesha msongo wa mawazo ndo unamsumbua, sidhani kama huyo Rafiki yako ni mbaya kiasi hicho ila cha kushauri usimpe tena pesa fanya jitihada mtafutie kazi, ikishindikana mwachie Mungu yeye ndo hujua hatima ya kesho.
Ndugu sina connection yoyote Kama aliyokuwa nayo yeye, zaidi huwa namfowadia tu matangazo ya kazi nikiona linamfaa
 
Mimi niliungwa na ndugu baadae nikaanza kuona napewa majukumu na kuombwa pesa kila muda nikisema sina Basi Ni lawama na maneno mabaya yanayovunja moyo nikaacha Ile kazi nikaanza biashara yangu ikawa afadhali.
Kiukweli waweza ona hiyo kazi ni msalaba
 
Ni ushauri mzuri

Hali ngumu na anaitaji kuombewa Ni stress anataka kuzitolea kwa jamaa

Ila anashindwa kujua ridhiki anatoa Mungu unapo msaidia MTU usitegemee kulipwa Mungu atakubariki kwa namna yke
Kama ni mizinga nimeanza kupigwa kabla hata hajaondolewa vi elfu hamsini vya dharura , namm nilikuwa Nampa bila hiyana
 
lazima ujue rafiki yako anapitia wakati mgumu sana kisaikolojia. unachopaswa kufanya ni kujaribu kumtafutia mtingo/kazi mahali ambapo wewe unachannel napo. mfano kwa marafiki zako wengine au ndugu zako.
 
Nesi paskazia alinichongea sana kwa boss..mwisho wa siku nikasimamishwa kazi...na leo naandika maneno haya paskazia nae hana kazi...MUNGU SIO ATHUMANI!
 
Una roho nyepesi sana na uko too emotional and sensitive ebu kaza kigodo mkuu au utaishi kwa tabu mpaka unakufa kwa kujilaumu na makosa ambayo sio yako, it's not your fault.

Life isn't fair but full of cruelty it means sometimes you'll have to be selfish so to survive.
.. That's My Quote.
 
Kama hakudhuru physically muache abwabwaje mpaka achoke.
Kikubwa ni kumpuuza na kukaa mbali nae. Ni stress za maisha tu hizo, akipata kazi atakuwa sawa.
 
Habari, hii ni habari ya kweli kabisaa, niliunganishwa na best friend wangu katika kazi Fulani, nilifurahi Sana kutokana na wakati huo nilikuwa na uhitaji wa kazi.

Rafiki yangu hiyo naweza sema.ni mtummwenye moyo wa kipekee Sana maana,kibongobongo ni ngumu rafiki kukupeleka sehemu yenye ulaji aliyopo yeye pia.

To cut the story short, tulifanya kazi pamoja Kwa muda Kama wa miezi sita katika kampuni hiyohiyo, baadae ikatokea wanapunguza wafanyakazi na rafiki yangu akawemo katika kundi Hilo na Mimi nikabaki.

Niliumia Sana kutokana na hilo, but niliahidi kuwa pamoja Naye katika shida na raha kwa kadri ya uwezo wangu.nikitoa kiasi Cha pesa Kila mwisho wa mweZi kupatia yeye Kama shukurani tu.

Ikatoakea mweZi mmoja sikumpatia kiasi Cha pesa Kama ilivyokawaida kutokana na mm kubanwa ,kulipa Kodi,kusomesha mdogo wangu na vingine vingi,nikamweleza jinsi ilivyo.

Baada ya kumuelez ahivyo, alikasirika sana na kuniporomoshea matusi, ikiwepo na kwamba nimejiona nimefika, na bila yy nisingejuwa hiyo kampuni.nilimsihi Sana na kumwambia kwamba natambua msaada wake.

Wakuu imefikia hatua mpaka natamani kuacha hiyo kazi kwajinsi anavyonisimanga Kwa ndugu jamaa na marafiki.mpaka tunaandiak hapa mm na rafiki yangu hiyo ni Kama paka na panya, amenijengea chuki ya ajabu nashindwa nifanyeje.

Naomba mawazo yenu nifante nini ,maana najiona kama.mtumwa kupitia kazi hii.
Acha kazi uone kazi kupata kazi
 
Kampuni inapopunguza wafanyakazi,wanaangalia vigezo gani?ndiyo hivo walivotumia nadhani
Riziki !! Hii pekee ni jibu tosha kwake...
Mwenyeezi Mungu ndiyo humteremshea riziki amtakae !! Naye pia humtiririshia riziki ampendae ...
Weka Imani.kwa mola karimu
 
Mkuu saidia pale unapoweza,usipoweza kausha na usijali nani ataongea nini.
Unataka uache kazi then?...
Just grow wise and wiser mkuu.
 
lazima ujue rafiki yako anapitia wakati mgumu sana kisaikolojia. unachopaswa kufanya ni kujaribu kumtafutia mtingo/kazi mahali ambapo wewe unachannel napo. mfano kwa marafiki zako wengine au ndugu zako.
Sina ndugu yangu hiyo chanel,maana ningekuwa nayo ningesha pata kazi muda mrefu, ukizingatia ninekaa miaka zaidi ya mitano bila kazi yoyote
 
Una roho nyepesi sana na uko too emotional and sensitive ebu kaza kigodo mkuu au utaishi kwa tabu mpaka unakufa kwa kujilaumu na makosa ambayo sio yako, it's not your fault.

Life isn't fair but full of cruelty it means sometimes you'll have to be selfish so to survive.
.. That's My Quote.
💯 percent nakubaliana na wewe , yaani nikikosana na mtu huwa nakosa amani Sana , Kama no kazini , nitapaona pachungu Sana, Niko radhi nijipendekeze ili tuwe na amani , ndivyo nilivyoumbwa ,nadhani ninudhaifu wangu naomba Mungu anisaidie sana
 
Back
Top Bottom