Naomba mawazo yenu wakina dada (hata wakina kaka mkichangia sio mbaya)

Naomba mawazo yenu wakina dada (hata wakina kaka mkichangia sio mbaya)

Vishu Mtata soma hii paragraph uenda ikasaidia kidogo ku-unlock huo ubongo
We jamaa una ajira au ni jobless??

Mbona fursa zipo kwa wote mkuu, hivi unajua ni kwa namna gani girls wanazisotea hizo ajira??
Ushawahi kua kwa ground na girls kwenye kusaka ajira ukaona the way wanalimwa ili kuzipata??

Unawaonea wanawake ila deepdown bado sana kufika level sawa na wanaume, yaani wanaume bado tuko juu yao mno, bado tuna maamuzi juu ya maisha yao hasa kwa hapa Tz.

Ila nyoe Wanaume waoga waoga ndo mnataka kamseleleko zaidi ndo tatizo hilo.
 
We jamaa una ajira au ni jobless??

Mbona fursa zipo kwa wote mkuu, hivi unajua ni kwa namna gani girls wanazisotea hizo ajira??
Ushawahi kua kwa ground na girls kwenye kusaka ajira ukaona the way wanalimwa ili kuzipata??

Unawaonea wanawake ila deepdown bado sana kufika level sawa na wanaume, yaani wanaume bado tuko juu yao mno, bado tuna maamuzi juu ya maisha yao hasa kwa hapa Tz.

Ila nyoe Wanaume waoga waoga ndo mnataka kamseleleko zaidi ndo tatizo hilo.
Naona bado hatuelewani. Itoshe tu kusema asante kwa ku-comment.
 
Hii sera ya 50|50 ililetwa ili kuleta usawa katika nafasi za uongozi ili kuwe na usawa katika kufanya maamuzi, mfano uongozi kisiasa, so hutumika mabungeni, kwenye teuzi nk. Na pia fursa nyinginezo mfano usawa katika nafasi za masomo, upahikanaji wa elimu kwa usawa kwa wote.

Mliingiza lini kwenye mahusiano hii kitu? Ni dhana ambayo jamii kubwa ya kitanzania haijaielewa na kubaki kupotoshana tu.
 
Back
Top Bottom