Naomba mbinu ya kumuacha mwanamke aliyekuganda

Ndivyo walivyo!
Umenikumbusha mbali!!

Kinachokusumbua ni roho Yako kuwa dhaifu wakati ya kwake ni very strong"elewa neno strong"halafu Huwa Wana support ya nature hao viumbe!!

Trust me utashindwa kumwacha!!anataka uhusiano wa kudumu hasta ndoa kabisaaa!!!

Kosea umpe mimba sasa utajua hujui!!!

Hai ni wife materials kabisa lakini"wanakusaliti secondary stage,japo sio kingono"!!!

Mwambie ukweli TU"Tuishie hapa,sioni future yangu mi nawewe"! Halafu uone moyo utaoavyokuuma hadi utashindwa kulala utakua unaamka usiku!!

Wabena wanajua kuganda !!!
 
Mi mwenyewe mwezi mmoja uliopita nilizoeana na dada mmoja naefanya nae kazi taasisi moja ila mikoa tofauti kulikua na semina ndo ilikua mara yangu ya kwanza

Unaweza pungua uzito ndani ya 2 days
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…