Donatila
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,772
- 22,598
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yaani kashaonesha ukicheche afu anataka asionekane kicheche...
Mbinguni ataenda kudeki vyoo vya stendi...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yaani kashaonesha ukicheche afu anataka asionekane kicheche...
Mbinguni ataenda kudeki vyoo vya stendi...
Ila we mrembo umetisha [emoji23][emoji23][emoji23]Mtu hata akikukula ila iwe kwa heshima. Sijui kama unaelewa
Usiseme rafki yako, huyo ni wewe bhanaHello hello..
I am asking this for a friend (Wallahi Wabillahi)
Huyu rafiki yangu (kuna mtu basi atasema "ni wewe mwenyewe😀") kuna mwanaume amempenda. Alikutana naye kama sehemu ya kazi so walipeana namba kwa madhumuni ya kuwasiliana kikazi. Kilichotokea ni kwamba kuna cheche zinaruka kati yao wakiwasiliana.
Rafiki yangu amemtamani huyu jamaa na anahisi jamaa kamuelewa pia sababu muda wote yeye (kijana) ndo anaanzisha maongezi lakini he keeps it very decent; anamjulia tu hali, anamuuliza issue za kazi za hapa na pale, akiweka WhatsApp status atamsifia lakini ile ya ki-kaka nothing flirty or romantic.
Sasa, afanye nini ili kijana amtongoze? Ofcourse sio lazima kuwa na longterm relationship naye wala nini anataka wakulane tu lakini asingependa kumuanza mwenyewe asije kumuona kicheche.
Siwezi yani.Nitongoze mimi basi,nipo Single
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yaani kashaonesha ukicheche afu anataka asionekane kicheche...
Mbinguni ataenda kudeki vyoo vya stendi...
Asante kwa statistics zinazotoa moyo. Yeye uoga wake sio kukataliwa; anaogopa tu jamaa kumuona kicheche na pia kumtangazia kuwa kamtongoza mwenyewe.Hahahah hamna kijana anakataa offer ya mbunye, thats one in a million chances ndio inakuwa denied.
Unaweza ukawa uko sahihi kabisa. Mimi ni mwanaume hivyo najua. Kama unampenda msichana ki-haswa na huyo msichana mnakuwa wote mara kwa mara, na anakuonyesha positive response kwa namna yoyote basi ni lazima utataka kuwahi kumtaka urafiki kabla hajawahiwa na wengine. Mwanzisha thread mwambie huyo rafiki yako afanyie mtihani mdogo sana huyo mwanaume. Wanapokuwa wapokutana huyo dada amwambie nina haraka nakwenda kumuwahi boyfriend wangu ananisubiri, halafu aone ata-respond namna gani.Am sure Uyo kaka ana muenjoy tu hayuko serious
Eeh tena ukute katoka kumwagwa kaishi miezi miwili bila kuchujwa nafaka upwiru umekaba koo wanakuwaga kama nyumbu😂Sema wanawake akikutaka aisee wanakuaga ving'ang'anizi balaa kuliko ata sisi wanaume. Yaani hata ufanye nini lazima tu atakula mzigo hawezi kukubali 😄😄
Nadhani kitendo cha mwanamke kumtaka mwanaume halafu akakataliwa hua kinamfrustrate sana kuliko sisi wanaume tukikataliwa tunachukulia poa tu.
Atakuwa kajimaliza 😂Unaweza ukawa uko sahihi kabisa. Mimi ni mwanaume hivyo najua. Kama unampenda msichana ki-haswa na huyo msichana mnakuwa wote mara kwa mara, na anakuonyesha positive response kwa namna yoyote basi ni lazima utataka kuwahi kumtaka urafiki kabla hajawahiwa na wengine. Mwanzisha thread mwambie huyo rafiki yako afanyie mtihani mdogo sana huyo mwanaume. Wanapokuwa wapokutana huyo dada amwambie nina haraka nakwenda kumuwahi boyfriend wangu ananisubiri, halafu aone ata-respond namna gani.
Kumbe kuna kuliwa kwa heshima na mtu asiyekuoa[emoji23][emoji23][emoji23]Mtu hata akikukula ila iwe kwa heshima. Sijui kama unaelewa
Mara jamaa achukulie poa, amwambie nenda tu [emoji23][emoji23][emoji23]Atakuwa kajimaliza [emoji23]
kwahiyo rafiki yako anaomba mbinu za kuuficha ukicheche wake huku ana hamu ya kunyanduliwa tu na huyo jamaa 🐒 🐒Hello hello..
I am asking this for a friend (Wallahi Wabillahi)
Huyu rafiki yangu (kuna mtu basi atasema "ni wewe mwenyewe😀") kuna mwanaume amempenda. Alikutana naye kama sehemu ya kazi so walipeana namba kwa madhumuni ya kuwasiliana kikazi. Kilichotokea ni kwamba kuna cheche zinaruka kati yao wakiwasiliana.
Rafiki yangu amemtamani huyu jamaa na anahisi jamaa kamuelewa pia sababu muda wote yeye (kijana) ndo anaanzisha maongezi lakini he keeps it very decent; anamjulia tu hali, anamuuliza issue za kazi za hapa na pale, akiweka WhatsApp status atamsifia lakini ile ya ki-kaka nothing flirty or romantic.
Sasa, afanye nini ili kijana amtongoze? Ofcourse sio lazima kuwa na longterm relationship naye wala nini anataka wakulane tu lakini asingependa kumuanza mwenyewe asije kumuona kicheche.
mtoto mwenzio huyo wa field😅Yani Kijana mdogo tu (actually we both feel he might be younger than her. Amekaa kama kijana wa 97 au 98 hivi)
Hakuna anayependa kuwa king'ang'anizi yani.Sema wanawake akikutaka aisee wanakuaga ving'ang'anizi balaa kuliko ata sisi wanaume. Yaani hata ufanye nini lazima tu atakula mzigo hawezi kukubali [emoji1][emoji1]
Nadhani kitendo cha mwanamke kumtaka mwanaume halafu akakataliwa hua kinamfrustrate sana kuliko sisi wanaume tukikataliwa tunachukulia poa tu.
Kwa hio mnataka mumubake dogo wa watu kama alivyofanya bi Asha hapa Asha (47) ahukumiwa kifungo cha maisha jela kwa kumbaka mvulana wa miaka 15Yani Kijana mdogo tu (actually we both feel he might be younger than her. Amekaa kama kijana wa 97 au 98 hivi)
Mimi nitasema siyo kujimaliza bali atakuwa amejua ukweli. Huyu jamaa kama anampenda kweli anaweza ku-react positively.Atakuwa kajimaliza 😂