Naomba mbinu (zisizo dhahiri sana) za kumfanya mwanaume akutongoze

Naomba mbinu (zisizo dhahiri sana) za kumfanya mwanaume akutongoze

Hello hello..

I am asking this for a friend (Wallahi Wabillahi)

Huyu rafiki yangu (kuna mtu basi atasema "ni wewe mwenyewe😀") kuna mwanaume amempenda. Alikutana naye kama sehemu ya kazi so walipeana namba kwa madhumuni ya kuwasiliana kikazi. Kilichotokea ni kwamba kuna cheche zinaruka kati yao wakiwasiliana.

Rafiki yangu amemtamani huyu jamaa na anahisi jamaa kamuelewa pia sababu muda wote yeye (kijana) ndo anaanzisha maongezi lakini he keeps it very decent; anamjulia tu hali, anamuuliza issue za kazi za hapa na pale, akiweka WhatsApp status atamsifia lakini ile ya ki-kaka nothing flirty or romantic.

Sasa, afanye nini ili kijana amtongoze? Ofcourse sio lazima kuwa na longterm relationship naye wala nini anataka wakulane tu lakini asingependa kumuanza mwenyewe asije kumuona kicheche.
Usiseme rafki yako, huyo ni wewe bhana
 
Am sure Uyo kaka ana muenjoy tu hayuko serious
Unaweza ukawa uko sahihi kabisa. Mimi ni mwanaume hivyo najua. Kama unampenda msichana ki-haswa na huyo msichana mnakuwa wote mara kwa mara, na anakuonyesha positive response kwa namna yoyote basi ni lazima utataka kuwahi kumtaka urafiki kabla hajawahiwa na wengine. Mwanzisha thread mwambie huyo rafiki yako afanyie mtihani mdogo sana huyo mwanaume. Wanapokuwa wapokutana huyo dada amwambie nina haraka nakwenda kumuwahi boyfriend wangu ananisubiri, halafu aone ata-respond namna gani.
 
Sema wanawake akikutaka aisee wanakuaga ving'ang'anizi balaa kuliko ata sisi wanaume. Yaani hata ufanye nini lazima tu atakula mzigo hawezi kukubali 😄😄

Nadhani kitendo cha mwanamke kumtaka mwanaume halafu akakataliwa hua kinamfrustrate sana kuliko sisi wanaume tukikataliwa tunachukulia poa tu.
Eeh tena ukute katoka kumwagwa kaishi miezi miwili bila kuchujwa nafaka upwiru umekaba koo wanakuwaga kama nyumbu😂
 
Unaweza ukawa uko sahihi kabisa. Mimi ni mwanaume hivyo najua. Kama unampenda msichana ki-haswa na huyo msichana mnakuwa wote mara kwa mara, na anakuonyesha positive response kwa namna yoyote basi ni lazima utataka kuwahi kumtaka urafiki kabla hajawahiwa na wengine. Mwanzisha thread mwambie huyo rafiki yako afanyie mtihani mdogo sana huyo mwanaume. Wanapokuwa wapokutana huyo dada amwambie nina haraka nakwenda kumuwahi boyfriend wangu ananisubiri, halafu aone ata-respond namna gani.
Atakuwa kajimaliza 😂
 
Hello hello..

I am asking this for a friend (Wallahi Wabillahi)

Huyu rafiki yangu (kuna mtu basi atasema "ni wewe mwenyewe😀") kuna mwanaume amempenda. Alikutana naye kama sehemu ya kazi so walipeana namba kwa madhumuni ya kuwasiliana kikazi. Kilichotokea ni kwamba kuna cheche zinaruka kati yao wakiwasiliana.

Rafiki yangu amemtamani huyu jamaa na anahisi jamaa kamuelewa pia sababu muda wote yeye (kijana) ndo anaanzisha maongezi lakini he keeps it very decent; anamjulia tu hali, anamuuliza issue za kazi za hapa na pale, akiweka WhatsApp status atamsifia lakini ile ya ki-kaka nothing flirty or romantic.

Sasa, afanye nini ili kijana amtongoze? Ofcourse sio lazima kuwa na longterm relationship naye wala nini anataka wakulane tu lakini asingependa kumuanza mwenyewe asije kumuona kicheche.
kwahiyo rafiki yako anaomba mbinu za kuuficha ukicheche wake huku ana hamu ya kunyanduliwa tu na huyo jamaa 🐒 🐒

mweleze tu bayana,
Tamaa sio kitu kizuri na mapenzi kazini ni kitovu cha uzembe.
Daima asipange kuharibu time za watu, abaki njia kuu 🐒
 
Sema wanawake akikutaka aisee wanakuaga ving'ang'anizi balaa kuliko ata sisi wanaume. Yaani hata ufanye nini lazima tu atakula mzigo hawezi kukubali [emoji1][emoji1]

Nadhani kitendo cha mwanamke kumtaka mwanaume halafu akakataliwa hua kinamfrustrate sana kuliko sisi wanaume tukikataliwa tunachukulia poa tu.
Hakuna anayependa kuwa king'ang'anizi yani.
 
Back
Top Bottom