fundi bishoo
JF-Expert Member
- Jun 26, 2018
- 14,264
- 27,132
weka picha,hisence zinajulikananaomba kuuliza wakuu nmenunua fridge hisense rd 20 lakn naona mbele kwenye milango kuna rangi ya silver na pembeni kuna rangi flani ya kqma kijivu flan je ndo yanakuag hvo au nimepgwa hapa wakuu
weka picha,hisence zinajulikana
Mzigo OG kabisa
asante san mkuu roho ilikua inanidunda sana je kile kiswtch cha kuzungusha ndani kuLe nikiweka namba saba ndo inawah kugandsha au nkiweka namba moja ..? maana sina uzoefu na haya mavitu mkuuMzigo OG kabisa
Weka namba 4asante san mkuu roho ilikua inanidunda sana je kile kiswtch cha kuzungusha ndani kuLe nikiweka namba saba ndo inawah kugandsha au nkiweka namba moja ..? maana sina uzoefu na haya mavitu mkuu
ok hapo nmkuelewa mkuu asante sana be blessed mama❤️Weka namba 4
7 baridi itakuwa kali… vitu vitaharibika kwa kuzidiwa na baridi
mbona lipo vizuri tu,Sio kopi ilo
Afu unasema umetokea chuga ?? Mbona mshamba. Kamanda huu mzigo ni og vibaya sana la kijanja
kaka tena watu wa chuga ndo wanapgwa vbaya 😂 mm mwenyew nshawqtapeli wachuga kama 3 hv ....sijawahi sema natokea chuga mwamba😂Afu unasema umetokea chuga ?? Mbona mshamba. Kamanda huu mzigo ni og vibaya sana la kijanja
asqnte sana mkuu nlkua na wasi wasi tumbona lipo vizuri tu,Sio kopi ilo
hii ndio yenyewe sasa man hujapigwa wala nini hio ni chombo ya fundi.
🤣🤣🤣Fundi bishoo ndo salary ya kwanza nn?full kiteteasante san mkuu roho ilikua inanidunda sana je kile kiswtch cha kuzungusha ndani kuLe nikiweka namba saba ndo inawah kugandsha au nkiweka namba moja ..? maana sina uzoefu na haya mavitu mkuu