fundi bishoo
JF-Expert Member
- Jun 26, 2018
- 14,264
- 27,132
- Thread starter
- #21
😂😂 acha tu mkuu ndo mali ya bei kubwa nnayomiliki kwa sasa mchecheto muhimu🤣🤣🤣Fundi bishoo ndo salary ya kwanza nn?full kitete
Hongera btw
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂 acha tu mkuu ndo mali ya bei kubwa nnayomiliki kwa sasa mchecheto muhimu🤣🤣🤣Fundi bishoo ndo salary ya kwanza nn?full kitete
Hongera btw
Kwani watu wanapigwa kwenye rangi ama uu og wa kinachonunuliwa🤓naomba kuuliza wakuu nmenunua fridge hisense rd 20 lakn naona mbele kwenye milango kuna rangi ya silver na pembeni kuna rangi flani ya kqma kijivu flan je ndo yanakuag hvo au nimepgwa hapa wakuu
Nonsense ni nini na hi sense ni nini😎Umepigwa hiyo siyo hisense hiyo ni nonsense
😂😂 kuna utofaut kati ya og na kopi laknKwani watu wanapigwa kwenye rangi ama uu og wa kinachonunuliwa🤓
Nnalo na freezer chini. Nawekaga 7 maji yapoe nazima. Friji lenyewe kazi yake kuweka maji tu kama jaba.Weka namba 4
7 baridi itakuwa kali… vitu vitaharibika kwa kuzidiwa na baridi
huyo n mwehu achna naeNonsense ni nini na hi sense ni nini😎
saba si ndo inakua inagandsha haraka yaan ile ndi ndi ndiiiNnalo na freezer chini. Nawekaga 7 maji yapoe nazima. Friji lenyewe kazi yake kuweka maji tu kama jaba.
Nini tofauti kwa mujibu wa wachakachuaji🤓😂😂 kuna utofaut kati ya og na kopi lakn
pambania fridge achana na kichnja changu cha kuwekea vyombo 😂😂Kabati la vyombo sasa! 😅
swali gumu afu jibu lake ni jepesi sanaNini tofauti kwa mujibu wa wachakachuaji🤓
Hisense wako vizuri, fridge umepata mzeiyapambania fridge achana na kichnja changu cha kuwekea vyombo 😂😂
ila kabati la vyombo ndo sina😂😂Hisense wako vizuri, fridge umepata mzeiya
Kama unaishi kibaharia kabati la vyombo sio la muhimu. Utaweka kitchen cabinet yako kwenye mjengo wakoila kabati la vyombo ndo sina😂😂
kabsa kibaharia mkuluuuKama unaishi kibaharia kabati la vyombo sio la muhimu. Utaweka kitchen cabinet yako kwenye mjengo wako
wewe utakuwa muhayakaka tena watu wa chuga ndo wanapgwa vbaya 😂 mm mwenyew nshawqtapeli wachuga kama 3 hv ....sijawahi sema natokea chuga mwamba😂
Hiyo uliyonunua itakuwa ni HISENSEMPICILLIN ......naomba kuuliza wakuu nmenunua fridge hisense rd 20 lakn naona mbele kwenye milango kuna rangi ya silver na pembeni kuna rangi flani ya kqma kijivu flan je ndo yanakuag hvo au nimepgwa hapa wakuu
Hizo Friji za Hisense ndio Wenyewe Babu, Mimi ninalo ilo Si Mchezo, Vitu vyote vya Hisense ni Fireasante san mkuu roho ilikua inanidunda sana je kile kiswtch cha kuzungusha ndani kuLe nikiweka namba saba ndo inawah kugandsha au nkiweka namba moja ..? maana sina uzoefu na haya mavitu mkuu