Naomba mnijuze wakuu fridge za hisense znakuaga na rangi 2

Naomba mnijuze wakuu fridge za hisense znakuaga na rangi 2

Lita ngap hiyo?
Na bei yake?

Halafu hilo beseni juu ondoa bahna.
 
naomba kuuliza wakuu nmenunua fridge hisense rd 20 lakn naona mbele kwenye milango kuna rangi ya silver na pembeni kuna rangi flani ya kqma kijivu flan je ndo yanakuag hvo au nimepgwa hapa wakuu
Hiyo uliyonunua itakuwa ni HISENSEMPICILLIN ......
 
asante san mkuu roho ilikua inanidunda sana je kile kiswtch cha kuzungusha ndani kuLe nikiweka namba saba ndo inawah kugandsha au nkiweka namba moja ..? maana sina uzoefu na haya mavitu mkuu
Hizo Friji za Hisense ndio Wenyewe Babu, Mimi ninalo ilo Si Mchezo, Vitu vyote vya Hisense ni Fire
 
Back
Top Bottom