Naomba mnijuze wakuu fridge za hisense znakuaga na rangi 2

Naomba mnijuze wakuu fridge za hisense znakuaga na rangi 2

asante san mkuu roho ilikua inanidunda sana je kile kiswtch cha kuzungusha ndani kuLe nikiweka namba saba ndo inawah kugandsha au nkiweka namba moja ..? maana sina uzoefu na haya mavitu mkuu
Namba saba ni maxmam cold temperature, ukiweka namba hiyo vitu vitapata ubaridi kwa haraka au kuganda kwa haraka kama unataka kugandisha.
Shida ni kua ukiweka namba sama fridge haitakua ina fanya themostart hivyo itapelekea umeme mwingi kitumika kwa maana haitakuwa inajizima na kujiwasha outomatiki.
Namba 4 ni namba nzuri kwa maana itaruhusu ubaridi mzuri ambao pia utaruhusu themostart kufanyakazi.
 
asante san mkuu roho ilikua inanidunda sana je kile kiswtch cha kuzungusha ndani kuLe nikiweka namba saba ndo inawah kugandsha au nkiweka namba moja ..? maana sina uzoefu na haya mavitu mkuu
Mkuu nami Niko kwenye project ya kununua chuma Cha kubaridishia wine niupokee mwaka vizuri
Bei umevuta kwa shilingi ngapi!?
 
Siwafundishi tena, Ukiteswa na bando, Huo ni uzembe wako, kwa halotel Pata GB2 kwa 3000, Gb3 kwa 4000, GB5 kwa 5000, Gb7 kwa 7000, Gb10 kwa 10000, Gb15 kwa 14,000, Gb20 kwa 19,000, Gb25 kwa 23000 na Gb30 kwa 26000 tu mwezi mzima. 0618370992.
 
Back
Top Bottom