naomba mnisaidie kujua tabia za wanaume wa kigoma(waha)

joyness

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2012
Posts
235
Reaction score
120
nina boyfriend wangu ni muha naomba mnisaidie kunifahamisha tabia za wanaume wa kiha kiundani.
 
This is oogling.

Oogling is deemed by Pope Kiranga Akihito bin Pazi as the habit of overly simplifying a very difficult question.

As in trying to Google the future of the DNA molecule that is responsible for the biological artistic trait of the Makonde people.
 
Ombi lako ni gumu kulipatia ufumbuzi kwa vile unataka kujua tabia za wanaume na si mwanaume wa kiha. Tabia za mtu pamoja na kuathiriwa na kufinyangwa na mila zake, ni tofauti baina ya mtu na mtu. Hivyo si rahisi kupata mtu anayewajua wanaume wa kiha isipokuwa Mungu. Wewe ndiye unayemjua huyo BF wako kuliko sisi. Na isitoshe mapenzi huwa hayana kabila wala rangi. Hivyo ni jukumu lako kutafuta jibu la swali lako. Hata tukikupa msaada hautakusaidia kupata unachopaswa kupata. Nadhani hii itakusaidia.
nina boyfriend wangu ni muha naomba mnisaidie kunifahamisha tabia za wanaume wa kiha kiundani.
 

Kwanza muulize, mwanamme wa Kiha ni yupi?
 
Wameaga kwao, watakufa kwa mpango wa Mungu na yoyote atakaye waua hata Panya nyumbani kwao hatasalimika. Source: Zuberi Zitto Kabwe

Upo bibie, wewe kupotea sana, mimi kukumisigi hapa kwa jamvini
 
TUKO HAPA TENA! Kaunga come zis wey huwezi kukaa muda wote huko af ushindwe kutupiemo maujanja!
 
Last edited by a moderator:
TUKO HAPA TENA! Kaunga come zis wey huwezi kukaa muda wote huko af ushindwe kutupiemo maujanja!

Muha wa wapi? Kibondo, Kasulu, Manyovu, Ujiji, Mwambao wa Ziwa au wa Nguruka?

Aliyelelewa Kikristu, Kiislamu au Kimila?

Kama kikristu, kikatoliki? Protestant? Kisabato au Kilokole?

Aliyetoka kwa familia iliyoenda shule, wafanya biashara, wakulima wa kahawa, michikichi au Kilimo cha kujikimu?

Aliyekulia Uhani au mikoani au nchi za nje?

Aliyesoma au hajasoma?

Mwambie Joy a-narrow down ili nimpe tabia za huyo mchuchu kwa usahihi; otherwise naweza mpa tabia za Mchaga kuliko Muha!
 
Last edited by a moderator:
ukiona hivyo hujaamua kumpenda, mm naamin kama nampenda mtu siko tiyari kusikia anaongelewa...acha kumpotezea time kaka wa watu, go back kwa ulie kuwa naye mwanzoni.
 
hahahaahhahhahahhahaha we unajua unavonikosha mie!na walahi wala huachi kunipa raha!ahahahhahahhah bure kabisa wewe!
 
Waha wana maubishi yasiyo ya lazima wao lazima washinde tu na imani zao za kishirikina mbele!wakisoma shida tupu na wasiposoma ndio uchawi mbele na ubishi!kazi kwako
 
nina boyfriend wangu ni muha naomba mnisaidie kunifahamisha tabia za wanaume wa kiha kiundani.

hivi na utanadawazi wote huu bado kuna tabia za watu wa kabila fulani jamani , i don think so
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…