Suprise
JF-Expert Member
- Nov 2, 2012
- 2,696
- 1,063
mbona umechelewa ...sio kwamba watakiwa jua tabia kabla hajawa boyfrend?
sasa hapa c utachiz utachunguza za wangapi wanaokuzunguka lol
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mbona umechelewa ...sio kwamba watakiwa jua tabia kabla hajawa boyfrend?
Ni watu wa maendeleo sana. Hawataki mwanamke mzembe katika maisha. Uwe na adabu na mpenda dini. Ila wana kau dictator kidogo,
Kama unataka kuishi maisha ya mateso milele oana na huyo kijana. Utakuja kuelewa usemi wangu baada ya miaka mingi
Waha wana maubishi yasiyo ya lazima wao lazima washinde tu na imani zao za kishirikina mbele!wakisoma shida tupu na wasiposoma ndio uchawi mbele na ubishi!kazi kwako
Kama unataka kuishi maisha ya mateso milele oana na huyo kijana. Utakuja kuelewa usemi wangu baada ya miaka mingi
nina boyfriend wangu ni muha naomba mnisaidie kunifahamisha tabia za wanaume wa kiha kiundani.
wabishi sana.
nina boyfriend wangu ni muha naomba mnisaidie kunifahamisha tabia za wanaume wa kiha kiundani.