naomba mnisaidie kujua tabia za wanaume wa kigoma(waha)

naomba mnisaidie kujua tabia za wanaume wa kigoma(waha)

This is oogling.

Oogling is deemed by Pope Kiranga Akihito bin Pazi as the habit of overly simplifying a very difficult question.

As in trying to Google the future of the DNA molecule that is responsible for the biological artistic trait of the Makonde people.
do you think u answer his/her question ???
 
Ombi lako ni gumu kulipatia ufumbuzi kwa vile unataka kujua tabia za wanaume na si mwanaume wa kiha. Tabia za mtu pamoja na kuathiriwa na kufinyangwa na mila zake, ni tofauti baina ya mtu na mtu. Hivyo si rahisi kupata mtu anayewajua wanaume wa kiha isipokuwa Mungu. Wewe ndiye unayemjua huyo BF wako kuliko sisi. Na isitoshe mapenzi huwa hayana kabila wala rangi. Hivyo ni jukumu lako kutafuta jibu la swali lako. Hata tukikupa msaada hautakusaidia kupata unachopaswa kupata. Nadhani hii itakusaidia.

Kweli aisee maana ukiwa let say ukiwa mitaa ya posta pale Dar au miji mingine kama Mwanza, Dodoma etc na ukaangalia life style ya vijana wengi wa mjini utagundua ni ngumu sana kutambua asili yao (wametokea mkoa gani) kwa namna life style yao jinsi ilivyo. In this case, inakuwa ngumu kujua tabia za mwanaume wa kiha hasa ukizingatia huyo anaemsema ukute hakuzaliwa huko LEKATUTIGITE kwa msingi huo atakua na swaga za kimjinimjini (kwa mantiki hiyo hata kama ana mapungufu yatakuwa ni mapungufu si kwa sababu yeye ni mha, unless kama anaemsema ameingia leo mjini toka Kalalangabo)
 
kama muha wa Gungu,hawa ni warundi wahutu,utajuta kuzaliwa na kukutana nae.BORA usiolewe nae
 
do you think u answer his/her question ???

There is no question to be answered. Not enough information has been provided to qualify the undisciplined overgeneralized wondering as a question.
 
wanauza sana matunda kule tegeta na kigamboni DSM .
 
there is no question to be answered. Not enough information has been provided to qualify the undisciplined overgeneralized wondering as a question.

hope you also is muha as well.habari shemu
 
''kigoooma............awe kigoma mamamamamaa........................leka dutigite..........wisha wam
  • :majani7:
.............
 
Huwa sipend kabisa mtu aneongea English mahali ambapo si husika (UTUMWA)
This is oogling.

Oogling is deemed by Pope Kiranga Akihito bin Pazi as the habit of overly simplifying a very difficult question.

As in trying to Google the future of the DNA molecule that is responsible for the biological artistic trait of the Makonde people.
 
Huwa sipend kabisa mtu aneongea English mahali ambapo si husika (UTUMWA)

Unaweza kuwa mtumwa wa racism pia.

Kati yako wewe "Prof. Engineer" na mie "Kiranga" kwa minajili yako nani mtumwa zaidi?

Kiingereza kinahusika wapi na wapi hakihusiki?
 
Sifa za wanaume wa kiha: 1. Kama mko mikoani hapendi mwende kwao. 2. Ni wakimya na wanafiki. 3. Hawapendi ndugu wa mke waje kukaa nao. 4. Chakula ni dagaa na ugali wa muhogo. 5. Hapendi ujue kama anakunywa pombe<ananywea nyumbani>. 6. Ni wapenzi wa kumbikumbi<inswa>. 7.wote wanajifanya ni walokole kumbe pombe yanakunywa. 8. Kama anafanyakazi,ni waoga na wanapenda kujipendekeza sana kwa mabosi. 9....10...
 
Nadhani umefika wakati tuachane na mila potofu za kuangalia ni kabila gan, wengi wamezingatia vigezo kama unavyotaka kufanya wakaishia kulia na kujuta, Kwa kuwa nina uhakika umeenda shule, jifunze kwamba mapenzi hayaangalii kabila, wala kabila hiathiri tabia za mtu kwa sasa, ndo maana kuna wachaga maskini mpaka wanakufa njaa ingawa inasemekana wanajua biashara na wana pesa, Jitahid umchunguze bf wako utafahamu tabia zake, usiporidhika songa mbele, acha ubaguzi mtoto maana hata wewe tukiangalia kabila lako unaweza ukakosa mme, KILA LA KHERI.
("It is beter to be defeated on laws than winning on lies")
 
nina boyfriend wangu ni muha naomba mnisaidie kunifahamisha tabia za wanaume wa kiha kiundani.

Washirikina ni mwisho! Hebu muangalie boyfriend wako vidole vya mikono, ukiona kama kidole kimoja au viwili hasa vidole vya shahada kina ulemavu hasa wa kukatwa kimbia! Hakuzaliwa hivyo huyo ni juju, aka ndumba.
Nimewaona wengi sana.
 
Waha wana maubishi yasiyo ya lazima wao lazima washinde tu na imani zao za kishirikina mbele!wakisoma shida tupu na wasiposoma ndio uchawi mbele na ubishi!kazi kwako


Nasikia huwa waitana kushikiana zamu ya kubisha


Eeeeenh ndugu nishikie ubishi wangu naenda sokoni.......we bisha tuuu

Hapo ujue ndio hadi owner arudi maana alieachiwa atabisha hata ukweli kuwa mnabishana atasema hambishani..........
 
nawashukuru kwa maoni yenu nimejifunza mengi.
 
Back
Top Bottom