Tausi Mzalendo
JF-Expert Member
- May 23, 2010
- 1,470
- 722
Wanajua kuimba sana mf. Banana Zoro, Linex, Ally Kiba,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
do you think u answer his/her question ???This is oogling.
Oogling is deemed by Pope Kiranga Akihito bin Pazi as the habit of overly simplifying a very difficult question.
As in trying to Google the future of the DNA molecule that is responsible for the biological artistic trait of the Makonde people.
Ni watu wa maendeleo sana. Hawataki mwanamke mzembe katika maisha. Uwe na adabu na mpenda dini. Ila wana kau dictator kidogo,
Ombi lako ni gumu kulipatia ufumbuzi kwa vile unataka kujua tabia za wanaume na si mwanaume wa kiha. Tabia za mtu pamoja na kuathiriwa na kufinyangwa na mila zake, ni tofauti baina ya mtu na mtu. Hivyo si rahisi kupata mtu anayewajua wanaume wa kiha isipokuwa Mungu. Wewe ndiye unayemjua huyo BF wako kuliko sisi. Na isitoshe mapenzi huwa hayana kabila wala rangi. Hivyo ni jukumu lako kutafuta jibu la swali lako. Hata tukikupa msaada hautakusaidia kupata unachopaswa kupata. Nadhani hii itakusaidia.
do you think u answer his/her question ???
there is no question to be answered. Not enough information has been provided to qualify the undisciplined overgeneralized wondering as a question.
hope you also is muha as well.habari shemu
This is oogling.
Oogling is deemed by Pope Kiranga Akihito bin Pazi as the habit of overly simplifying a very difficult question.
As in trying to Google the future of the DNA molecule that is responsible for the biological artistic trait of the Makonde people.
Huwa sipend kabisa mtu aneongea English mahali ambapo si husika (UTUMWA)
Huwa sipend kabisa mtu aneongea English mahali ambapo si husika (UTUMWA)
nina boyfriend wangu ni muha naomba mnisaidie kunifahamisha tabia za wanaume wa kiha kiundani.
Waha wana maubishi yasiyo ya lazima wao lazima washinde tu na imani zao za kishirikina mbele!wakisoma shida tupu na wasiposoma ndio uchawi mbele na ubishi!kazi kwako
khaaaaa! Mkuu mbona tunaharibiana sasa tukaoe burundi!