KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,804
- 12,227
Tunguli mwanzo mwisho.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nina boyfriend wangu ni muha naomba mnisaidie kunifahamisha tabia za wanaume wa kiha kiundani.
This is oogling.
Oogling is deemed by Pope Kiranga Akihito bin Pazi as the habit of overly simplifying a very difficult question.
As in trying to Google the future of the DNA molecule that is responsible for the biological artistic trait of the Makonde people.
wanauza sana matunda kule tegeta na kigamboni DSM .
Kabila na tabia havina uhusiano acha ujinga wa kizamani na uzembe wa kufikiri tangu umekuwa nae hujajua tabia yake?
Washirikina ni mwisho! Hebu muangalie boyfriend wako vidole vya mikono, ukiona kama kidole kimoja au viwili hasa vidole vya shahada kina ulemavu hasa wa kukatwa kimbia! Hakuzaliwa hivyo huyo ni juju, aka ndumba.
Nimewaona wengi sana.
WABISHI SANA, MAJIGAMBO MENGI, WANAFKI SANA, WANAZUNGUKA MTU, MF KAMA UNA BIASHARA UKAMWAJIRI HATA KAMA NI MFAGIAJI, ATAJISIFIA YEYE NDIYE BOSS, UMEMDHULUMU NI WALALAMISHI KWELI, HAWARIDHIKI, PIA WAKIWA NA ELFU 50 TU MFUKONI WANAONA HAKUNA TAJIRI KAMA WAO, WANAWEZA KUMTUKANA YEYOTE KISA ELFU 50 MFUKONI..HAWADUMU PIA NA MARAFIKI..HATA MKIWA KWENYE KUNDI MOJA ATAANZISHA MGOGORO TU MSAMBARATIKE, NI RAHISI KUHONGWA PIA. Nimefanikiwa kufanya nao kazi kwa zaidi ya miaka 14..Nawajua sana maana nimefanya na watu wengi idara tofauti tofauti..zaidi ya watu 40 matatizo yanafanana hakuna afadhali..Hadi nakuja Chadema sikumwamini Kafulila wala Zitto na niliwaambia wakanikatalia ila leo wananikubali..
nina boyfriend wangu ni muha naomba mnisaidie kunifahamisha tabia za wanaume wa kiha kiundani.
Tunguli mwanzo mwisho.
nina boyfriend wangu ni muha naomba mnisaidie kunifahamisha tabia za wanaume wa kiha kiundani.
uchunguzi nimefanya mwenzangu na karibia behaviour zote zilizotajwa anazo isipokuwa ushirikina ndo sijui.mimi ni mnyakyusa.Tatizo ulilonalo ni uvivu wa kufanya uchunguzi! Tabia za mtu zinamhusu yeye mwenyewe na wala si kabila. Labda na wewe ungetuambia u kabila gani ili wanasaikolojia wakaja hapa kufanya ulinganifu.