naomba mnisaidie kujua tabia za wanaume wa kigoma(waha)

naomba mnisaidie kujua tabia za wanaume wa kigoma(waha)

nina boyfriend wangu ni muha naomba mnisaidie kunifahamisha tabia za wanaume wa kiha kiundani.

WABISHI SANA, MAJIGAMBO MENGI, WANAFKI SANA, WANAZUNGUKA MTU, MF KAMA UNA BIASHARA UKAMWAJIRI HATA KAMA NI MFAGIAJI, ATAJISIFIA YEYE NDIYE BOSS, UMEMDHULUMU NI WALALAMISHI KWELI, HAWARIDHIKI, PIA WAKIWA NA ELFU 50 TU MFUKONI WANAONA HAKUNA TAJIRI KAMA WAO, WANAWEZA KUMTUKANA YEYOTE KISA ELFU 50 MFUKONI..HAWADUMU PIA NA MARAFIKI..HATA MKIWA KWENYE KUNDI MOJA ATAANZISHA MGOGORO TU MSAMBARATIKE, NI RAHISI KUHONGWA PIA. Nimefanikiwa kufanya nao kazi kwa zaidi ya miaka 14..Nawajua sana maana nimefanya na watu wengi idara tofauti tofauti..zaidi ya watu 40 matatizo yanafanana hakuna afadhali..Hadi nakuja Chadema sikumwamini Kafulila wala Zitto na niliwaambia wakanikatalia ila leo wananikubali..
 
This is oogling.

Oogling is deemed by Pope Kiranga Akihito bin Pazi as the habit of overly simplifying a very difficult question.

As in trying to Google the future of the DNA molecule that is responsible for the biological artistic trait of the Makonde people.

Hii nimeipenda
 
Kabila na tabia havina uhusiano acha ujinga wa kizamani na uzembe wa kufikiri tangu umekuwa nae hujajua tabia yake?

Kuna watu wanapenda sana kushauliwa kiasi kwamba hawawezi kabisa kushughulisha ubongo wao.
 
Mmetuchamba wee, sisi tunawaangalia tu, tumezushiwa na kubatizwa hata tusiyoyajua, wala kuwahi hata kuyafanya. Ati mtu ana reason na kuhitimisha kabida; kwa kuwa fulani na fulani ni Waha, basi Waha wote wako vile!
 
Washirikina ni mwisho! Hebu muangalie boyfriend wako vidole vya mikono, ukiona kama kidole kimoja au viwili hasa vidole vya shahada kina ulemavu hasa wa kukatwa kimbia! Hakuzaliwa hivyo huyo ni juju, aka ndumba.
Nimewaona wengi sana.

Khaa!makubwa haya!hii ss kali......
 
Sasa hii ni mada kweli? Aisee!!! Huu mwaka unakwisha vibaya. Kama huna cha kusema, nyamaza kimya. Soma mada zilizokwenda shule.
 
WABISHI SANA, MAJIGAMBO MENGI, WANAFKI SANA, WANAZUNGUKA MTU, MF KAMA UNA BIASHARA UKAMWAJIRI HATA KAMA NI MFAGIAJI, ATAJISIFIA YEYE NDIYE BOSS, UMEMDHULUMU NI WALALAMISHI KWELI, HAWARIDHIKI, PIA WAKIWA NA ELFU 50 TU MFUKONI WANAONA HAKUNA TAJIRI KAMA WAO, WANAWEZA KUMTUKANA YEYOTE KISA ELFU 50 MFUKONI..HAWADUMU PIA NA MARAFIKI..HATA MKIWA KWENYE KUNDI MOJA ATAANZISHA MGOGORO TU MSAMBARATIKE, NI RAHISI KUHONGWA PIA. Nimefanikiwa kufanya nao kazi kwa zaidi ya miaka 14..Nawajua sana maana nimefanya na watu wengi idara tofauti tofauti..zaidi ya watu 40 matatizo yanafanana hakuna afadhali..Hadi nakuja Chadema sikumwamini Kafulila wala Zitto na niliwaambia wakanikatalia ila leo wananikubali..

Yesu na maria!!kumbe!
 
nina boyfriend wangu ni muha naomba mnisaidie kunifahamisha tabia za wanaume wa kiha kiundani.

....ni jamii ya wamanyema wenye tabia za jamii ya watu wa magharibi ya Tanganyika....ambao hao watanganyika wanatabia za kibantu wa africa mashariki ya Africa.

Wabantu wa Africa mashariki tabia zao zinafanana na za wabantu wenzao wa Africa nzima tangu enzi za mababu aghalabu kwa sasa zimechanganywa kidogo na ujio wa waarabu na wakoloni wa kimagharibi...

Umeelewa?
 
Tunguli mwanzo mwisho.

kumbe wafipa ni waha?
watu wa tanga ni waha?
watu wasiginda ni waha?

Acheni matusi na msiwe wengi wakunyoshea mikono makabila mengine kwa ujumla.kumbukeni tabia ya mtu inaweza athiriwa na vitu vingi
 
nina boyfriend wangu ni muha naomba mnisaidie kunifahamisha tabia za wanaume wa kiha kiundani.

hahahahaha mwakeye, ulakomeye....WENGI WAO NI WABISHI, HUFANYA MAMBO KIMYA KIMYA HATA YANAYOHUSU FAMILIA, HAWAJALI KITU CHOCHOTE, ILA NI WATAFUTAJI WA PESA. wepesi wa kuomba msamaha na kusahau, mda mfupi wanarudia kosa lilelile.
 
unapo mnyoshea mwenzio kidoe angalia vidole vingine vilipogeukia!kila mtu anatabia zake !ihamtutendei haki kwa hilo!watu wa kigoma wengi niwapiganaji sana wa maisha na hawakati tamaa hupenda ,hawakubali kupelekwa pelekwa ovyo, mengine ni inbox siumeona jina yangu!
 
Tatizo ulilonalo ni uvivu wa kufanya uchunguzi! Tabia za mtu zinamhusu yeye mwenyewe na wala si kabila. Labda na wewe ungetuambia u kabila gani ili wanasaikolojia wakaja hapa kufanya ulinganifu.
 
Tatizo ulilonalo ni uvivu wa kufanya uchunguzi! Tabia za mtu zinamhusu yeye mwenyewe na wala si kabila. Labda na wewe ungetuambia u kabila gani ili wanasaikolojia wakaja hapa kufanya ulinganifu.
uchunguzi nimefanya mwenzangu na karibia behaviour zote zilizotajwa anazo isipokuwa ushirikina ndo sijui.mimi ni mnyakyusa.
 
Kabila,Tabia, si kitu chochote kwa mapenzi ambayo wewe unayo kwa mhusika kama umempenda basi utajitoa kwa tabia yeyote ambayo anayo huyo umpendaye,kikubwa ni kumsoma tabia zake na kuvumiliana tu,kwani hata wewe unatabia ambazo yeye hatazipenda na hawezi kuja hapa kuuliza!
 
Wabishi kama pilipili mbuzi, hawapendi maendeleao (PESIMISTS), Majungu sana, ..............
 
Back
Top Bottom