naomba mnisaidie kujua tabia za wanaume wa kigoma(waha)

naomba mnisaidie kujua tabia za wanaume wa kigoma(waha)

nina boyfriend wangu ni muha naomba mnisaidie kunifahamisha tabia za wanaume wa kiha kiundani.
Kwa iyo ww ni shem wangu sio basi mi muha orginal njoo pm nikupe kila tabia iwe nzur au mbaya ya wanaume wa kiha
 
Acheni ujinga wa kusingizia tabia fulani kwa kabila fulani.Tabia ni ya mtu binafsi bila ya kujali alipozaliwa au kabila. Acha mara moja ujinga huu. Mimi ni mngoni lakini nina tabia zangu mwenyewe binafsi.
Wqambie mkuu mimi ni muha mbona sina tabia za kubisha kupitiliza sina ufumo dume ni mke na watoto 2 miaka 12 ya ndoa cjawahi hata kumpiga kofi mke wangu na familia yangu inaenjoy wala hajuti kuolewa na mm sana coz najielewa hizo tabia mbaya hazina kabila wala dini wala rangi ni hurka ya mtu mtu mmoja mmoja kama kuna mtu haamini haya niyasemayo aje naishi dar tabata kinyerez aje nimpe hata no ya my wife amuulize au aje atutembelee ajionee.
 
Tunauweza mgegedo sana njoo shwm lako hapo hutajuta makuambia
 
Ila hatutaki kuwa chini ya mwanamke hilo ulijue kabla hujaingia ktk ndoa aisee
 
Sisi waha ni watafutaji sana tunajishughulisha sana ndio maana makabla ka ya wachaga na wapare na wapemba hawatupendi kila kitu wanatuponda tu kama huamini ona hizo comment za wanajamvi wanaponda kabila letu sana kisa tunawawashia hendketa ya mafanikio mitaani walipo waha hayo makabila niliyiyqtaja wanapata taabu sana
 
WABISHI SANA, MAJIGAMBO MENGI, WANAFKI SANA, WANAZUNGUKA MTU, MF KAMA UNA BIASHARA UKAMWAJIRI HATA KAMA NI MFAGIAJI, ATAJISIFIA YEYE NDIYE BOSS, UMEMDHULUMU NI WALALAMISHI KWELI, HAWARIDHIKI, PIA WAKIWA NA ELFU 50 TU MFUKONI WANAONA HAKUNA TAJIRI KAMA WAO, WANAWEZA KUMTUKANA YEYOTE KISA ELFU 50 MFUKONI..HAWADUMU PIA NA MARAFIKI..HATA MKIWA KWENYE KUNDI MOJA ATAANZISHA MGOGORO TU MSAMBARATIKE, NI RAHISI KUHONGWA PIA. Nimefanikiwa kufanya nao kazi kwa zaidi ya miaka 14..Nawajua sana maana nimefanya na watu wengi idara tofauti tofauti..zaidi ya watu 40 matatizo yanafanana hakuna afadhali..Hadi nakuja Chadema sikumwamini Kafulila wala Zitto na niliwaambia wakanikatalia ila leo wananikubali..
Acha upuuzi wa kijinga we jamaa hawa wengine usiwasikie ni Watani zetu so hapa wanatania. Kama kawaida yao
 
Kwanza wanapenda kuitunza familia kwa chakula
.
Pili hawako wazi kumshirikisha mke mipango ya maendeleo

Tatu wanaalika bila aibu ndugu zao kwa wingi bila aibu hata kama ndoa imefungwa Jana tu,

Nne wanapenda kuzaa mpaka yai la mwisho liishe.

Tano, wanapenda kuvaa nguo mpya wakati WA sikukuu zaidi.

Sita wabishi hamna mfano.

Saba uongo ni kama kunywa chai.

Hayo kidogo mengine baadae

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Kuna ukweli 92%
 
Kuna ukweli 92%
Nwaalika mje mnitembelee kwangu tabata kinyerez dar ili mje mhakikishe hayo mnayoyasema msitusemee buana zama hizi sio za kijinga tumeshaelimika hata bila kwenda shule maana mitandao tu ni chuo tosha. Namba yangu ni 0756695846.
 
Wqambie mkuu mimi ni muha mbona sina tabia za kubisha kupitiliza sina ufumo dume ni mke na watoto 2 miaka 12 ya ndoa cjawahi hata kumpiga kofi mke wangu na familia yangu inaenjoy wala hajuti kuolewa na mm sana coz najielewa hizo tabia mbaya hazina kabila wala dini wala rangi ni hurka ya mtu mtu mmoja mmoja kama kuna mtu haamini haya niyasemayo aje naishi dar tabata kinyerez aje nimpe hata no ya my wife amuulize au aje atutembelee ajionee.
Nimeamini wewe ni MHA...hurka-hulka....
 
Back
Top Bottom