naomba mnisaidie kujua tabia za wanaume wa kigoma(waha)

nina boyfriend wangu ni muha naomba mnisaidie kunifahamisha tabia za wanaume wa kiha kiundani.
Kwa iyo ww ni shem wangu sio basi mi muha orginal njoo pm nikupe kila tabia iwe nzur au mbaya ya wanaume wa kiha
 
Acheni ujinga wa kusingizia tabia fulani kwa kabila fulani.Tabia ni ya mtu binafsi bila ya kujali alipozaliwa au kabila. Acha mara moja ujinga huu. Mimi ni mngoni lakini nina tabia zangu mwenyewe binafsi.
Wqambie mkuu mimi ni muha mbona sina tabia za kubisha kupitiliza sina ufumo dume ni mke na watoto 2 miaka 12 ya ndoa cjawahi hata kumpiga kofi mke wangu na familia yangu inaenjoy wala hajuti kuolewa na mm sana coz najielewa hizo tabia mbaya hazina kabila wala dini wala rangi ni hurka ya mtu mtu mmoja mmoja kama kuna mtu haamini haya niyasemayo aje naishi dar tabata kinyerez aje nimpe hata no ya my wife amuulize au aje atutembelee ajionee.
 
Tunauweza mgegedo sana njoo shwm lako hapo hutajuta makuambia
 
Ila hatutaki kuwa chini ya mwanamke hilo ulijue kabla hujaingia ktk ndoa aisee
 
Sisi waha ni watafutaji sana tunajishughulisha sana ndio maana makabla ka ya wachaga na wapare na wapemba hawatupendi kila kitu wanatuponda tu kama huamini ona hizo comment za wanajamvi wanaponda kabila letu sana kisa tunawawashia hendketa ya mafanikio mitaani walipo waha hayo makabila niliyiyqtaja wanapata taabu sana
 
Acha upuuzi wa kijinga we jamaa hawa wengine usiwasikie ni Watani zetu so hapa wanatania. Kama kawaida yao
 
Kuna ukweli 92%
 
Kuna ukweli 92%
Nwaalika mje mnitembelee kwangu tabata kinyerez dar ili mje mhakikishe hayo mnayoyasema msitusemee buana zama hizi sio za kijinga tumeshaelimika hata bila kwenda shule maana mitandao tu ni chuo tosha. Namba yangu ni 0756695846.
 
Nimeamini wewe ni MHA...hurka-hulka....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…