Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu kwani ukimuita tu ULIMWENGU au KAZIZOTE, KAZIKUNOGA, SHEMBAGO, KIDUKU, KIDUKULILO, KIGOGO, KAGASHEKI, nk atakuwa sio muslim? nisamehewe kama nimemkwaza mtu...
Umuhimu wa jina la mtoto awe wa kike au kiume lisiwe na maana mbaya kwa jamii. Mfano unampa mtoto jina la 'Shida', Huzuni, Mjinga...... hayo siyo majina mazuri.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Taliban
Linatamkwaje Mkuu?Jina la kisomali hilo, Wasomali wengi waislamu wanalitumia
'Hersi'Linatamkwaje Mkuu?
Moja kati ya majina ninayo ona mazuri, hilo na lengine Faisal ama FeysaalMursali
Hesi? au herisi?.Nivumilie mkuu'Hersi'
Hakuna jina Taliban, ila kuna jina 'Talib' maanake mfuasiTaliban
FcAzam
HumaylWanabodi salaam! Nimefanikiwa kupata mtoto wa kiume, sasa kwa jinsi nilivyokuwa na furaha na ujio wake natamani nimpe jina zuri na la kipekee. Najua humu ndan kuna wajuvi wengi so karibuni sana
The greatest
Mwite HamzaWanabodi salaam! Nimefanikiwa kupata mtoto wa kiume, sasa kwa jinsi nilivyokuwa na furaha na ujio wake natamani nimpe jina zuri na la kipekee. Najua humu ndan kuna wajuvi wengi so karibuni sana