Naomba mnisaidie kupendekeza jina zuri na 'unique' la mtoto wa kiume wa Kiislam

Naomba mnisaidie kupendekeza jina zuri na 'unique' la mtoto wa kiume wa Kiislam

Wanabodi salaam! Nimefanikiwa kupata mtoto wa kiume, sasa kwa jinsi nilivyokuwa na furaha na ujio wake natamani nimpe jina zuri na la kipekee. Najua humu ndan kuna wajuvi wengi so karibuni sana
Napishana na wewe ,usiseme la kiislam sema la kiarabu. Tumekuwa watumwa wa tamaduni za watu. Huko arabuni kuna makanisa na wakiristo wa arabuni ndio akina Hamza , Sharif n.k.

Ni Sawa na muislam kumuita mtoto wako Gift wanakwambia ni jina la kikrito ila ukimwita Zawadi wanaona upo sahihi.
Jina zuri sio linavyotamkwa ni maana yake.
 
Wanabodi salaam! Nimefanikiwa kupata mtoto wa kiume, sasa kwa jinsi nilivyokuwa na furaha na ujio wake natamani nimpe jina zuri na la kipekee. Najua humu ndan kuna wajuvi wengi so karibuni sana
Muite Furaha sababu umefurahia ujio wake
 
Dah! Hili hersy nilijua la kikristo ila la ukweli sana
Hakuna jina la kikristo elimika bro Acha utumwa wa nafasi yako mwenyewe.

Kuna jina la kingereza, kituruki, kiebrania, Kiswahili, kiarabu, kihaya, kipare, kifaransa n.k
Mpe jina mtoto lenye maana nzuri kwa lugha yoyote husika ata ukimwita John, Mwita n.k jua asili ya jina maana yake kama inapendeza.

UISLAM UMEEELEKEZA KUWAPA WATOTO MAJINA MAZURI TU!!!!!
 
majina mazuri ya mababu zenu, walio waleta dunian, hamuyataki, mmekazana na majina ya jamii za mbali ambazo hata dini zao haziwatambui[emoji23][emoji23]..shame on you, mambo mengine mnayafanya baht mbaya kwakujua ama kutokujua, effects zake ni kwa watoto hao, wanakosa baraka za maisha sabbu ya imani,

wanakosa baraka sabbu ya kuwapa utambulisho feki, ambao wamiliki wa huo utambulisho kiroho hawawatambui, nishasemaga hapa, Mungu mgeni hawez kukubariki kama wew upo nje ya jamii na tamaduni ya wahasisi wa iyo imani, nikatolea mfano kwa wakikristo, kuna hao mayahud mnaosema wamebarikiwa baraka toka kwa ibrahimu, na ili uwe sehem ya baraka izo lzma uwe muisrael, au ufanye jambo fulan fulan ndpo utazpata, ukikosea utaangaika kuwa fukara kama hawa walokole mitaani na hutopata kitu, maana umeingilia imani ya tamaduni ilyo nje yako, na hutambulik.

niliongelea pia hata kwa islamic ni hivyo hivyo, yaan ukitaka uwe recognized na hiyo iman, unakuta mtu kabadirishiwa mpak jina lake na kupewa jina la watu wa uko uarabuni[emoji23][emoji23] kuonesha kuwa kwa uhalisia wako, [emoji117]hutambuliki mpka ufanye mambo fulan fulan ndpo miungu ya jamii hiyo itakukubali.

nachotaka kusema ni kuwa, jmn tupende vya kwetu, utumwa ulikwisha, izo imani za kuiga iga si nzur hata ushahid upo, ni bora ukampa mtoto hata jina la lolote lenye asili ya afrika(black people) ama jina la kiswahili ambalo unajua maana yake, nikwambie tu ukweli kila jina lina maana yake kwa kugha yake tuu FULL STOP, ndiomaana majina ya wahindi,wachina na wakorea hutoona yakibadirishwa sabb ya lugha ili kuendana na maana ya jamii fulan lkn yanaweza kutafsiliwa yanamaanisha nini kwa lugha ya sehem husika lkn si kubadirishwa, ndiomaana hutoona jina la Muhammad likiitwa kwa kingereza wala lugha yyte, zaid ya asili yake.

tabia ya kubadir majina kulingana na eneo, wanayo watu wa magharib na USA napo walianza kufanya il kuficha na kubadiri uhusika wa historia za jamii fulani.

wote mnaobeza haya mambo, mjue mnamkosea Muumba kwa kuikataa asili yenu na kukumbatia upumbv wa ugeni ambao hata hauna maana.

ukwel mchungu huu ushaur ukiuzingatia nakuhakikishia uyo mtoto wako atakuja kuwa mtu muhimu sana kwenye jamii, lkn ukipenda kuiga iga, ndyo hayo mnapata watot wenye tabia za akina, aisha, john mkabaji, muhamed mbakaji, musa mpiga ramli, yoshua mla wake za watu, ibrahimu tapeli, grace malaya, khareem mwizi, alhaji jambazi, Aziza tapel wa waume zawatu, magret mtoa mimba, na takataka znginezo,

we niletee jinalolote lenye asili ya hao watu nami nikuletee maana yake kulngana na wahasisi wa hayo majina.

kuweni wazalendo, utumwa wa akili ushafika mwisho, kama wao hawawez tumia jina la babu yako, why ww utumie yakwao??

ukweli mchungu
FB_IMG_16338702659299194.jpg
 
Wanabodi salaam! Nimefanikiwa kupata mtoto wa kiume, sasa kwa jinsi nilivyokuwa na furaha na ujio wake natamani nimpe jina zuri na la kipekee. Najua humu ndan kuna wajuvi wengi so karibuni sana
.
 
majina mazuri ya mababu zenu, walio waleta dunian, hamuyataki, mmekazana na majina ya jamii za mbali ambazo hata dini zao haziwatambui[emoji23][emoji23]..shame on you, mambo mengine mnayafanya baht mbaya kwakujua ama kutokujua, effects zake ni kwa watoto hao, wanakosa baraka za maisha sabbu ya imani,

wanakosa baraka sabbu ya kuwapa utambulisho feki, ambao wamiliki wa huo utambulisho kiroho hawawatambui, nishasemaga hapa, Mungu mgeni hawez kukubariki kama wew upo nje ya jamii na tamaduni ya wahasisi wa iyo imani, nikatokea mfano kwa wakikristo, kuna hao mayahud mnaosema wamebarikiwa baraka toka kwa ibrahimu, na ili uwe sehem ya baraka izo lzma uwe muisrael, au ufanye jambo fulan fulan ndpo utazpata, ukikosea utaangaika kuwa fukara kama hawa walokole mitaani na hutopata kitu, maana umeingilia imani ya tamaduni ilyo nje yako, na hutambulik.

nilingelea pia hata kwa islamic ni hivyo hivyo, yaan ukitaka uwe recognized na hiyo iman, unakuta mtu kabadirishiwa mpak jina lake na kupewa jina la watu wa uko uarabuni[emoji23][emoji23] kuonesha kuwa kwa uhalisia wako, [emoji117]hutambuliki mpka ufanye mambo fulan fulan ndpo miungu ya jamii hiyo itakukubali.

nachotaka kusema ni kuwa, jmn tupende vya kwetu, utumwa ulikwisha, izo imani za kuiga iga si nzur hata ushahid upo, ni bora ukampa mtoto hata jina la kiswahili ambalo unajua maana yake, nikwambie tu ukweli kila jina lina maana yake kwa kugha yake tuu FULL STOP, ndiomaana majina ya wahindi,wachina na wakorea hutoona yakibadirishwa sabb ya lugha ili kuendana na maana ya jamii fulan lkn yanaweza kutafsiliwa yanamaanusha nini kwa lugha ya sehem husika lkn si kubadirishwa, ndiomaana hutoona jina la Muhammad likiitwa kwa kingereza wala lugha yyte, zais ya asili yake.

tabia ya kubadir majina kulingana na eneo, wanayo watu wa magharib naUSA napo walianza kufanya il kuficha na kubadiri uhusika wa historia za jamii fulani.

wote mnaobeza haya mambo, mjue mnamkosea Muumba kwa kuikataa asili yenu na kukumbatia upumbv wa ugeni ambao hata hauna maana

ukwel mchungu huu ushaur ukiuzingatia nakuhakikishia uyo mtoto wako atakuja kuwa mtu muhimu sana kwenye jamii, lkn ukipenda kuiga iga, ndyo hayo mnapata watot wenye tabia za akina, aisha, john mkabaji, muhamed mbakaji, musa mpiga ramli, yoshua mla wake za watu, ibrahimu tapeli, grace malaya, khareem mwizi, alhaji jambazi, Aziza tapel wa waume zawatu, magret mtoa mimba, na takataka zngnizo, we niletee jinalolote llenye asili ya hao watu nami nikuletee maana yake kulngana na wahasisi wa hayo majina.

kuweni wazalendo, utumwa wa akili ushafika mwisho, kama wao hawawez tumia jina la babu yako, why ww utumie yakwao??

ukweli mchunguView attachment 1970337
Well said
 
Wanabodi salaam! Nimefanikiwa kupata mtoto wa kiume, sasa kwa jinsi nilivyokuwa na furaha na ujio wake natamani nimpe jina zuri na la kipekee. Najua humu ndan kuna wajuvi wengi so karibuni sana
Kwako jina la kipekee ni lipi hasa ?
 
Back
Top Bottom