OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
au aitwe Magufuli 😂😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante sana mkuu kwa somo zuri kiukweli leo najifunza mengi sana kuhusu iman zetu na mambo ya maisha kwa ujumlaKwanza hongera kwa baraka za Mwenyezi Mungu.. Iwe ni kwako wewe au hata kwa ndugu ay jamaa yako.
Maswala ya majina ni maswala ya kiimani sana.. ni maswala ya mtoto huyo na wazazi, jamii na Mungu. Ni swala la alikotoka na anakokwenda.. ni swala la wakati na muda zaidi sio swala la aliye mzaa Ila aliyeZAliwa..
Tusiwe wabinafsi.. tusitaka sifa zetu au kupendezeaha nafasi zetu kama wazazi.. majina tinayowapa watoto yaakisi heshima, rehema na shukrani kwa mwenyezi Mungu. Usimpe mtoto jina kwa sababu Dunia inayokuzunguka inadhani jina Hilo ni cool.. Wala usimpe jina kwa sababu wewe mzazi unadhani ni jina unique... Mpe jina kwa sababu unalielewa kile jina Hilo linachobeba ni uhai, mafanikio, utu na furaha kwa mtoto na wanaomzunguka.
Kama umeipata Furaha muiteWanabodi salaam! Nimefanikiwa kupata mtoto wa kiume, sasa kwa jinsi nilivyokuwa na furaha na ujio wake natamani nimpe jina zuri na la kipekee. Najua humu ndan kuna wajuvi wengi so karibuni sana
Najash au SudeisYaani lisiwe popular / common sana
Mehmet nimelipendaMehmet
Salman
Imara
Mahiri
Shaheed
Beyazid
Shah
Nejad
Nedim
Nasri
Tayyib
Amour
Shein
Abeid
Nurein
Ashraf
Hersy ni best sio wengi waitwa hivyoDah! Hili hersy nilijua la kikristo ila la ukweli sana
Nilijua tu hili jina lingetajwaHamza
[emoji23][emoji23][emoji23]Hamza
TalibanWanabodi salaam! Nimefanikiwa kupata mtoto wa kiume, sasa kwa jinsi nilivyokuwa na furaha na ujio wake natamani nimpe jina zuri na la kipekee. Najua humu ndan kuna wajuvi wengi so karibuni sana
ShekitombiTaliban