Roman Israel Esq
JF-Expert Member
- Nov 23, 2017
- 2,024
- 3,281
Duuh!Hii kali especially kwa wale tusioamini uchawi. Sasa hizo mbegu za kiume mwanamke anaweza akazalishwa na jini na akapata mtoto ambaye baba yake ni jini?Mdogo wangu ameoa mke juzijuzi,, analo ilo shetani,, anaota ndoto anafanywa,, asubui akihamka anajikuta ana mbegu za kiume Kwenye uke wake,,
Halafu linaleta nuksi balaa ilo,, Au ukiwa nalo mwanaume unaweza ukataka kumuingilia mkeo uume usisimame kabisa.
N'a Kuna shetani mahaba lingine linawaingilia wanaume usiku,, so Kuna wengine wanaenda wanazoea hatima yake baadae wanakuwa mapunga KABISA wanatafuta mabasha wakibinadamu wawabandue,, kama anavyohaha sasaivi UCD kutafuta vibunzi vimsugue
Ilitokea nikawa najikuta naota najamiiana nayo ndotoni mkuu , nilivyooa ndo yakaanza kunitishia
Sijui mkuu,, muulize huyu Mshana Jr ,, uhamini uchawi halafu Bado unahoji,,Duuh!Hii kali especially kwa wale tusioamini uchawi. Sasa hizo mbegu za kiume mwanamke anaweza akazalishwa na jini na akapata mtoto ambaye baba yake ni jini?
Pambana Mkuu,, hayo mwishoni yatakubandua ww,, take it from Me, na ikifikia ivyo unakuwa shoga sasa Au punga,, ikifikia hatua iyo Kaka zako tupo
Nahoji maswali kutokana na evidence iliyoletwa, how does it(my questioning), have anything to do with me not believing?Sijui mkuu,, muulize huyu Mshana Jr ,, uhamini uchawi halafu Bado unahoji,,
NJOO NIONE PM...INSHAA ALLAH NAWEZA KUKUSAIDIA...BILA GHARAMA YOYOTE KABLA YA HUDUMA...NJOO PM INSHAA ALLAH...
ILA SWALI LA MSINGI JE WEWE NI MUISLAM AU LA...?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna mtu amekuambia mfuate pm,, akakuuliza pia ww dini gani,, huyo ndio atakusaidia kwa upeo wanguDuh
Haukujua Niko serious kiasi gani mkuu mpaka naleta huu Uzi
Ni mateso unajua aseh
Sijaona hata wa kusema nini nifanye kuliepuka
Mkuu , Mimi sio muislam ,
ni mkiristo !
Lakini tatizo langu linanitesa na nahitaji liishe bila kujali aina ya dini iliyoliondoa
Kwahiyo nenda church tu...kwa walokole huenda watakusaidia...naonaga kwenye TV hbari za mapepo...Mkuu , Mimi sio muislam ,
ni mkiristo !
Lakini tatizo langu linanitesa na nahitaji liishe bila kujali aina ya dini iliyoliondoa
Mwanaume linamuingilia nyuma au lenyewe ndilo linafanywa na mwanaume binadam.. Nijuze plzMdogo wangu ameoa mke juzijuzi,, analo ilo shetani,, anaota ndoto anafanywa,, asubui akihamka anajikuta ana mbegu za kiume Kwenye uke wake,,
Halafu linaleta nuksi balaa ilo,, Au ukiwa nalo mwanaume unaweza ukataka kumuingilia mkeo uume usisimame kabisa.
N'a Kuna shetani mahaba lingine linawaingilia wanaume usiku,, so Kuna wengine wanaenda wanazoea hatima yake baadae wanakuwa mapunga KABISA wanatafuta mabasha wakibinadamu wawabandue,, kama anavyohaha sasaivi UCD kutafuta vibunzi vimsugue
Hujui ulisemalo.Acheni ujinga nyie. Mambo ya dark ahges haya. Mambo ya kijima. Mkuu huna tatizo lolote zaidi ya hofu isiyokuwa na msingi. Irrational fear inakufanya uone, usikie, kugusa, n.k vitu ambavyo havipo. Shinda hofu yako na yote unayohisi yanakikumba yatakwisha!
Mimi nimeteseka nalo mika 30+ nakuelewa...tangu liondoke ni kama miezi sita hiv mpaka wakat mwingine siamin kama kweli limeondoka...unaweza nitafuta nikakuelekeza nilipoponea..Wakuu naomba sana kujua jinsi ya kulifukuza mini l mahaba.
Na pia naomba kujuzwa kuhusu ;
1. Linatokea wapi ?
2. Lina uwezo gani kuharibu maisha ya MTU
3. Linakaa kwa MTU mpaka kipindi gani
4 . je, halifi ?
5. Kulifukuza ni mbinu gani inatumika na kulitokomeza kabisa?
Nisaidieni , mwenye ushauri mzuri sana anaweza pia kunifuata private tukaongea jinsi ya kusaidiana
Nawasilisha
Yapo majini mahaba y'a kiume na yapenda Tigo,,,yanawaingilia wanaume kinyume na maumbile,, so mtu akizoea baadae sasa anawatafuta mabasha wa kibinadamu wamle ndogo yake,, Mkuu vip unalo nini ?Mwanaume linamuingilia nyuma au lenyewe ndilo linafanywa na mwanaume binadam.. Nijuze plz
Sent using Jamii Forums mobile app
Sub'hanallah!Ilitokea nikawa najikuta naota najamiiana nayo ndotoni mkuu , nilivyooa ndo yakaanza kunitishia
Wana vimbwanga hao. Kama mwanaume akiwa bado anamkazia huyo jinni mahaba atakufanyia kitu kibaya sana. Mwanaume mzima una lala unaota unaingiliwa nyuma na anayekuingilia anapiga mzigo kweli kweli. Ukishtuka kutoka usingizini unakuta manii kabisa sehemu ya haja kubwa.Duuh!Hii kali especially kwa wale tusioamini uchawi. Sasa hizo mbegu za kiume mwanamke anaweza akazalishwa na jini na akapata mtoto ambaye baba yake ni jini?
Kama wewe ni muislam ni jibu sasa hivi ili nikupe Dua ya kujikinga nalo angalau kwa usiku nyakati za kulala.Wakuu naomba sana kujua jinsi ya kulifukuza mini l mahaba.
Na pia naomba kujuzwa kuhusu ;
1. Linatokea wapi ?
2. Lina uwezo gani kuharibu maisha ya MTU
3. Linakaa kwa MTU mpaka kipindi gani
4 . je, halifi ?
5. Kulifukuza ni mbinu gani inatumika na kulitokomeza kabisa?
Nisaidieni , mwenye ushauri mzuri sana anaweza pia kunifuata private tukaongea jinsi ya kusaidiana
Nawasilisha