Naomba Msaada. Nifanyeje ili niweze kupona ini?

Kuna mama mmoja aliandika symptoms za ugonjwa wa mwanae uliomsumbua kwa muda mrefu sana kwenye AI,AI ikampa majibu, akachukua majibu na kuyapeleka kwa daktari wake, daktari akashangaa na kusema huenda hichi ndo kinachomsumbua mwanao kweli, mtoto akatibiwa akapona. Source: News za redioni.

Sisemi kuwa AI itakupa majibu ila jaribu tu uone itasemaje, ukiona kuna jambo la tofauti na madaktari walichokuwa wanasema, nenda kawaonyeshe.
 
Pole mkuu.
 
AI kwa maana Artificial Intelligence ama umemaanisha nn mkuu
 
Sina mawasiliano alinitibu 2019 ni mda umepita na sim ilipotea ila ukienda pale Burhan we sema unataka kumuona Dr Kisanga watakwambia anapatikanaje au regency kimsingi anatibu kwa appointment
OK, shukrani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…