Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Sometimes kuna mengi!! Inawezekana ni hisia zako zinazokufelisha kabisa!! Ama haupo sawa kiakili labda kuna jambo linakukabili ilitaka kupelekea stress!! Hizo ndizo athari zake.
Pili, badilisha mazingira na mkeo!! Siku moja badala ya kulala ndani tumieni 40,000 tuu toka nenda hotel mbali na hapo mkalale huko!! Kuzoea sana mazingira husababisha jambo lile kufanyika vile vile kila siku katika style zile zile maeneo yaleyale lazima akili ichoke jombaa!!
Tatu, punguza chips na soda!! Sikupigi dongo ila namaanisha inawezekana kuna vyakula unakula sana vinapelekea wewe kupata fatigue na hujielewi!! Matokeo yake ukitulia anasimama ukianza kujishughulisha ndipo athari zinaonekana na hapo ndo unashindwa kuendelea na tendo mzeebaba anageuka konokono anarudi katika jumba lake!!
Mwisho, mazoezi ni kila kitu!! Mwili ukiwa vizuri kila kitu kitakwenda sawa katika mwili kuanzia na akili hadi duduwasha ataweza kuwajibika vyema na kukata kiu ya mkeo!!
Kionjo: Kama mkeo ni mama wa nyumbani basi mpendezeshe, hadi ukikaa nae karibu unajisi eeeeh upo na chombo!! Ianwezeka a yupo rafurafu na akili imemkataa yaan amekuwa si viwango vyako tena
5:00 niko hapa ( office parking) nina hamu na kazi leo ukifika unishtue nalala now Boss[emoji126] [emoji126] [emoji28] [emoji23]Afadhali hata uwe unawaza michango ya humu JF (mama S) wakati wa gemu
Mkuu nawezaje kuithibiti akili katika hili au nitumie njia gani itakayo nisaidiaaa mkuu?Ni jambo la muda uwatokea wengi, jaribu kujipa muda fanya mazoezi, punguza kuwaza sana japo mawazo huja yenyewe lakni unaweza kuya control vema,
Mkuu naweza fanya mazoezi jioni ama vizuri zaidi iwe asubuhiiii?Ni jambo la muda uwatokea wengi, jaribu kujipa muda fanya mazoezi, punguza kuwaza sana japo mawazo huja yenyewe lakni unaweza kuya control vema,
Mimi?Afadhali hata uwe unawaza michango ya humu JF (mama S) wakati wa gemu
5:00 niko hapa ( office parking) nina hamu na kazi leo ukifika unishtue nalala now Boss[emoji126] [emoji126] [emoji28] [emoji23]
Jason Statham2
Mliman city Boss...nipigie kwa ile namba nowCm hupokei na kwenye gari haupo ofisini haupo kuna unalolitafuta wewe. Take care
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Pole sana mkuu hata mm n muadhirika wa hili na imenitokea janaMkuu mm nadhani ni mawazo na kutofanya mazoezi mana nina mda sana sina mazoezi japo sina uzito wa kiivyo.
Kwa sababu daaaaah inauma sana mkuu.
Unakuta nipo kwenye game mawazo yote yapo katika gemu ya jana naona kabisa kwamba nawaza jana italala na akili inasema saivi inalala hiyoooo hiyooo na inalala kweli mkuu.
Yani daah nawezaje kuithibiti akili isiwaze huu upumbavuu mkuu?
Au kupitia mazoezi hasa kukimbia yanaweza kunisaidia katika hilo mkuu???
Ww n kama mm tu aiseeee Ila mm n JanaDah mkuu akili yangu iko sawa tuuu wala hakuna kinachonipa stress ila sasa kuna ule wakati wa game yani kuna mawazo hunijiaa kwamba inasinyaaa na inasinyaa kweli na pale nakata tamaa kabisaa haisimami
Tunapambana vipi mkuu?Ww n kama mm tu aiseeee Ila mm n Jana
Imenitokea the first time
Mliman city Boss...nipigie kwa ile namba now
Mkuu mm naona tuzingatie lishe,Tunapambana vipi mkuu?
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Mimi?
Awe anapiga ngumi ukutanj [emoji23]
Mkuu ukiwa na time mazoez n mazur kwa wakat wote jion na asubuhMkuu naweza fanya mazoezi jioni ama vizuri zaidi iwe asubuhiiii?
Mkuu ww iliwah kukutokeaNi jambo la muda uwatokea wengi, jaribu kujipa muda fanya mazoezi, punguza kuwaza sana japo mawazo huja yenyewe lakni unaweza kuya control vema,