Naomba msaada wa kifedha nilipie pango. Mwenye nyumba kaja kutoa vitu

Naomba msaada wa kifedha nilipie pango. Mwenye nyumba kaja kutoa vitu

Wengine humu tunasimama kama wazazi kuwapa miongozo hawa watoto, bado wapo kwenye foolish age kukosea kupo ni sehemu ya kujifunza.

Cha muhimu na msingi je maelezo yake ni kweli?

Dhiki za maisha ndio zinawapeleka vijana kujaribu bahati zao kwenye kubet, si busara kuwahukumu watoto badala ya kuwaekekeza jema na baya.

Hawa vijana wa sasa wanakwenda chuoni akili bado hazijakomaa, mimi nakumbuka kipindi naanza form one kuna tuliowakuta form two, three na four ni wakubwa sana wananyowa ndevu kabisa, mimi nakumbuka wapo tuliokuwa tunawaamkia na hata head Master alikuwa anawatreat tofauti ni watu wazima na akili zao kabisa.

Sasa usishangae Graduate wa leo kichwani hamna kitu, kuna transformation ya kizazi.
Bila shaka ukweli umeupata. Mtoa mada anaonekana ameathiriwa na maisha ya kamari! Jambo ambalo ni hatari kwa vijana wengi. Kwa maisha yake hayo, hana tofauti na mtumiaji wa madawa ya kulevya. Maana hawezi kuacha kwa urahisi.

Inawezekana hata hela ya kodi alishapewa na mzazi wake, matokeo yake akaenda kuichezea kamari! Kwa mantiki hii lazima aje tu kuomba msaada humu jukwaani.
 
Nakupa akili next time kwakuwa upo Dodoma na bunge lipo Dodoma unatakiwa kwenda bungeni na wabunge wapo hukatazwi kuingia unakwenda kumuona mbunge wako unamueleza kiukweli changamoto zako lazima utasaidiwa kama hakuna utapeli wowote.

Wakati mwingine muwe mnachangamsha akili, hata mbunge ambaye si wa jimbo lako mwenye huruma anakusaidia, hiyo ni ela ya vocha tu kwao.
Mkuu huwa upo direct sana, na mara nyingi upo sahihi.
 
Wengine humu tunasimama kama wazazi kuwapa miongozo hawa watoto, bado wapo kwenye foolish age kukosea kupo ni sehemu ya kujifunza.

Cha muhimu na msingi je maelezo yake ni kweli?

Dhiki za maisha ndio zinawapeleka vijana kujaribu bahati zao kwenye kubet, si busara kuwahukumu watoto badala ya kuwaekekeza jema na baya.

Hawa vijana wa sasa wanakwenda chuoni akili bado hazijakomaa, mimi nakumbuka kipindi naanza form one kuna tuliowakuta form two, three na four ni wakubwa sana wananyowa ndevu kabisa, mimi nakumbuka wapo tuliokuwa tunawaamkia na hata head Master alikuwa anawatreat tofauti ni watu wazima na akili zao kabisa.

Sasa usishangae Graduate wa leo kichwani hamna kitu, kuna transformation ya kizazi.
Be blessed [emoji123][emoji123]

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
 
Sijafunga inbox yangu, wewe tuma namba mimi nitaongea naye, nitampa gurentee ya kulipwa pesa yake, lakini hakikisha maelezo yako ni kweli tupu ili usaidiwe na uache michezo ya kamari.

Hapa JF watu wakiingia kwenye id yako na kufanya screening ya post zako kama ni mpuuzi fulani tu huwezi kusaidia.

Nakuandika haya wewe ni sawa na mtoto wangu wa kumzaa nimeingiwa na huruma ya mzazi hata mimi nisingependa watoto wangu wapitie haya kama umetueleza kweli tupu.

Kama unachotuambia hapa ni kweli tupu utalipiwa hiyo pesa inayotakiwa.
Namba ya mwenye nyumba 0714 293791 mzee bernard
 
Habar wa wakuu, heri ya mei mosi.

Mi nimekuja hapa kuomba msaada wenu , ninaashida ya shs 100,000/= , nikiasi cha pesa kilicho pungua kwenye kodi ya chumba nacho kaa, maana leo mwenye nyumba kajakutaka kutoa vitu vyangu , nikamwomba anivumilie mpaka kesho asubuh ili nimtafutie pesa yake

Ni mwanafunz wa chuo cha afya hapa Dodoma, nimejaribu kupambania kupata hela ya kulipa kodi nimepata nusu ya deni ninakiasi cha tshs 150000, bado hiyo laki moja,

Kwa upande wa mzazi kwa sasa siwezi mtegemea maana ameyumba kiuchumi, hata kumwelezea shida zangu naona ni kumwongezea mawazo tu, naomben msaada wenu tafadhali

Natumain hapa JF naweza pata msaada, natanguliza shukran zangu za dhati kwenu

Kwa chochote kile mawasiliano
0655680282
Utaolewa soon acha ukahaba

Mimi nianza kujitegemea nikiwa la nne kwa kufanya vibarua siku za wikend na likizo hasa kulima,kufua,kuosha vyombo mahotelini jioni,nk na nilikuwa mdogo hadi namaliza chuo kikuu ndivyo niliishi hivyo

Sasa wewe jitu zima unaomba hela?aibu sana!!!
 
Hutakiwi kumuonea huruma mzazi wako. Maana hili ni jukumu lake kukusomesha na kukulea mpaka pale utakapo jitegemea!
Wewe muongezee tu mawazo ili akili imkae sawa.

Ifikie wakati tuishi maisha kama ya Wazungu. Haya masuala ya kufyatua tu, halafu watoto wanakuja kuteseka na kusumbua watu wengine hayana tija hata kidogo.

Samahani sana mtoto/mdogo wangu [emoji120] kama nitakukwaza kwa haya maneno yangu.
Huo ndiyo uhalisia mimi wazazi wangu walikuwa na nafasi wakawa wanaishi maisha ya mboga saba nimesoma kwa vibarua hadi chuo kikuu hata mahari ya kuoa nilitoa mwenyewe kwa sasa nawaangalia tu siyo jukumu langu kuwalea wadogo zangu na wao,misaada yangu naelekeza kwa maskini na wanangu,wamesema maneno mabaya dhidi yangu lakini Mungu ananisimamia kwani sina deni nao!!

Apambane
 
Back
Top Bottom