Naomba msaada wa kufika Ulaya

Naomba msaada wa kufika Ulaya

Kama walijipambania acha kusema wana roho mbaya maana huwadai kitu na hawana obligation ya kukusaidia wewe.
Kuna watu wengi humu wanalalamika kuhusu kutosaidiwa na watanzanzia waliopo nje ndio maana nikasema wana roho mbaya that's why nikamuambia ajipambanie mwenyewe kama walivyojipambania wao. Ukweli utabaki pale pale mtu akikuomba msaada ulio ndani ya uwezo wako na ukashindwa kumsaidia wewe una roho mbaya japo sio lazima kumsaidia mtu.
 
Kuna watu wengi humu wanalalamika kuhusu kutosaidiwa na watanzanzia waliopo nje ndio maana nikasema wana roho mbaya that's why nikamuambia ajipambanie mwenyewe kama walivyojipambania wao. Ukweli utabaki pale pale mtu akikuomba msaada ulio ndani ya uwezo wako na ukashindwa kumsaidia wewe una roho mbaya japo sio lazima kumsaidia mtu.

Unajikanganya mwenyewe. Mara useme msaada sio lazima hapo hapo unasema usipotoa msaada una roho mbaya, which is which?

Unaposema msaada una maanisha nini? Nauli, gharama au information? Kama ni information zimejaa tele kila Kona labda mtu awe mvivu kutafuta. Gharama ni jukumu lako.

Una uhakika gani kama watu nje wapo kwenye position ya kukupa msaada?

Hii entitlement na uvivu kwamba hadi nisaidiwe ndo nifike mahali fulani huwezi toboa. Kama wao walifika hata wewe unaweza sio lazima usaidiwe. Information zipo kila Kona Kuanzia websites za nchi husika, JF, FB na sites zingine. Msaada ni hisani sio lazima. Ukipewa shukuru ukinyimwa kausha sio malalamiko ya roho mbaya au nini watu wana majukumu yao, kama wewe mwenyewe huwezi kujisaidia jua na wengine wanabanwa hivyo hivyo.
 
Unajikanganya mwenyewe. Mara useme msaada sio lazima hapo hapo unasema usipotoa msaada una roho mbaya, which is which?

Unaposema msaada una maanisha nini? Nauli, gharama au information? Kama ni information zimejaa tele kila Kona labda mtu awe mvivu kutafuta. Gharama ni jukumu lako.

Una uhakika gani kama watu nje wapo kwenye position ya kukupa msaada?

Hii entitlement na uvivu kwamba hadi nisaidiwe ndo nifike mahali fulani huwezi toboa. Kama wao walifika hata wewe unaweza sio lazima usaidiwe. Information zipo kila Kona Kuanzia websites za nchi husika, JF, FB na sites zingine. Msaada ni hisani sio lazima. Ukipewa shukuru ukinyimwa kausha sio malalamiko ya roho mbaya au nini watu wana majukumu yao, kama wewe mwenyewe huwezi kujisaidia jua na wengine wanabanwa hivyo hivyo.
Sawa mkuu nimekuelewa.
 
WORK AND LIVE IN HUNGARY, SERBIA & AUSTRIA
Min. Salary: 1500 euros
Role: Farm assistants, warehouse assistants, sales men, delivery men, sorters and packers
Tenure: One year (extendable)
Overtime: YES

Charges: 1500 euros
Assistance: 1 yr Work permit, 1yr contract, 1 yr accomodation booking and Visa appointment.
Duration of processing 28-60 days.
Terms of payment: 50% advance by 50% after the work permit is declaired
 
Iko njia haram tunatoka hapa hadi Sudan tunaingia Chad alafu libya baada ya hapo zipo boti za mchongo kutokea Libya tunaitafuta Sicily Italy safari kama ya masaa 24 kwenye maji kama uko tayari nicheki ila hiyo ni njia ya kiume kweli kweli maana kuna sehem itabidi utembee jangwani kwa mguu umbali mrefu gari hazipiti ukitoboa ukiwa hai unatakiwa utoe sadaka kubwa ambayo hujawahi kutoa
Umenikumbusha movie ya El Captaino
 
WORK AND LIVE IN HUNGARY, SERBIA & AUSTRIA
Min. Salary: 1500 euros
Role: Farm assistants, warehouse assistants, sales men, delivery men, sorters and packers
Tenure: One year (extendable)
Overtime: YES

Charges: 1500 euros
Assistance: 1 yr Work permit, 1yr contract, 1 yr accomodation booking and Visa appointment.
Duration of processing 28-60 days.
Terms of payment: 50% advance by 50% after the work permit is declaired
Mkuu nipo tayari, nafanyia wapi hizi process?
 
Back
Top Bottom