Naomba msaada wa kufika Ulaya

Naomba msaada wa kufika Ulaya

WORK AND LIVE IN HUNGARY, SERBIA & AUSTRIA
Min. Salary: 1500 euros
Role: Farm assistants, warehouse assistants, sales men, delivery men, sorters and packers
Tenure: One year (extendable)
Overtime: YES

Charges: 1500 euros
Assistance: 1 yr Work permit, 1yr contract, 1 yr accomodation booking and Visa appointment.
Duration of processing 28-60 days.
Terms of payment: 50% advance by 50% after the work permit is declaired
Mkuu process nafanyia wapi?
 
WORK AND LIVE IN HUNGARY, SERBIA & AUSTRIA
Min. Salary: 1500 euros
Role: Farm assistants, warehouse assistants, sales men, delivery men, sorters and packers
Tenure: One year (extendable)
Overtime: YES

Charges: 1500 euros
Assistance: 1 yr Work permit, 1yr contract, 1 yr accomodation booking and Visa appointment.
Duration of processing 28-60 days.
Terms of payment: 50% advance by 50% after the work permit is declaired
How can someone apply??
 
Habari wakuu, naomba msaada kwa mtu ambaye yupo ulaya anisaidie niweze kufika huko, nipo tayari kufanya kazi yeyote ya halali,passport ninayo
Ukitaka kwenda Ulaya anazia kwenda "ulaya" anzia kenye tovuti yao ufate masharti ya namna ya kuingia utakapo.

Hakuna tatizo lolote, kwanini utafute msaada wa mtu na nchi nyingi za "ulaya" zina balozi zake Tanzania?

Moja ya kazi za hizo balozi ni kuwasaidia wanaotaka kuingia nchini kwao.

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
 
Mkuu samahani tutafute kiasi gani ndio tukutafute kwa makadilio.
Kwa faida ya wote mimi nitamsaidia mtu mwenye uwezo wa kujisaidia mwenyewe, kama unatumia internet ingia mwenyewe kwenye website za airline angalia unataka kusafiri mwezi gani mwakani utapata bei za flight, safari za ulaya travel insurance ni lazima bei ni dollar 30, ingia website ya ubalozi wa nchi unayotaka kwenda angalia viza fee ni bei gani, jumlisha na hizo euro 1500 za kukuombea work permit na mkataba wa kazi utapata hesabu wewe mwenyewe Unatakiwa ujiandae na kiasi gani.

Mimi sichukui pesa ya mtu, ukiacha malipo ya Agency hayo malipo mengine yote unafanya mwenyewe.
 
Ukitaka kwenda Ulaya anazia kwenda "ulaya" anzia kenye tovuti yao ufate masharti ya namna ya kuingia utakapo.

Hakuna tatizo lolote, kwanini utafute msaada wa mtu na nchi nyingi za "ulaya" zina balozi zake Tanzania?

Moja ya kazi za hizo balozi ni kuwasaidia wanaotaka kuingia nchini kwao.

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Punguza kejeri, unafahamu fika tatizo la Watanzania wengi ni kupata supporting documents tu za kuombea viza.

Mbona wale mabeach boy marasta hawana lolote lakini wanawake wa kizungu wanawarusha ulaya kila siku.

Nchi za ulaya kama raia anakualika yeye, kule kwao kuna declaration form anajaza ya kukudhamini ubalozini kwao unakwenda kuokota viza tu bila shida.

Kwahiyo siyo ustaarabu kutokuwaonesha njia ya kweli na sahihi kwa ambao bado wapo gizani.

Wengine tulipata bahati nimeingia Uingereza wakati bado hatujafutiwa free entry, Uingereza tulikwenda kama unavyokwenda Kenya tu ukifika Heathrow unaonesha invitation yako tu unagongewa entry unazama ndani ya London.
 
Punguza kejeri, unafahamu fika tatizo la Watanzania wengi ni kupata supporting documents tu za kuombea viza.

Mbona wale mabeach boy marasta hawana lolote lakini wanawake wa kizungu wanawarusha ulaya kila siku.

Nchi za ulaya kama raia anakualika yeye, kule kwao kuna declaration form anajaza ya kukudhamini ubalozini kwao unakwenda kuokota viza tu bila shida.

Kwahiyo siyo ustaarabu kitokuwaosha njia ya kweli na sahihi kwa ambao bado wapo gizani.

Wengine tulipata bahati nimeingia Uingereza wakati bado hatujafutiwa free entry, Uingereza tulikwenda kama unavyokwenda Kenya tu ukifika Heathrow unaonesha invitation yako tu unagongewa entry unazama ndani ya London.
Akiingia kwenye tovuti au akienda balozi husika ataeleweshwa kila kitu, kama anataka kwenda kwanini iwe tatizo "documents"?

Watanzania tunadanganyana sana.

Ushauri wangu aingie tovuti ya au aende ubalozi husika.
 
Back
Top Bottom