Hii kampuni ya Hisense ni moto, ninayo inchi 43 hakika sijawahi jutia kuwa nayoZitatajwa kila kampuni ila kwa sasa sijaona na sidhani kama HISENSE ana mpinzani.
ukiwatoa hao uliowataja,HAKUNA tv kukuta HISENSE.
Ila kama ni.mpenda ma TV yenye ma double glass, ukifika dukani wanalipiga piga na Remote kukuonyesha ubora wake HISENSE sio chaguo lako.
One and Only HISENSE
😂😂😂 yale yale nimetokaa kuongea hapa ! Ww ungekuwa na hela hiyo tv wala usingekuja hapa kuulizia ni wapi utaenda kutengeneza maana sehem ni nyingi ila garamaa ndo itakutoa ushuzii... hao wanaokuambia kariako usifikiri ukija huku ni mteremko... watu wanafanya kazi kwa kujuana ... fundi anaweza kuenda akamaliza kila kitu kwa laki mbili na nusu ila ww nenda uskie bei zake ! Wakikiona tuu bei utakayotajiwa utaona bora ujipinde ununue nyingine .... cha msingi mtafte fundi unae mwamini mpee kazi ili incase of anything unaweza ukapambana naeNina LG yangu nchi 49 imekufa kioo, ni wapi nitapata mkuu....na bei ikoje.
Mafundi wazuri wako wapi, maana hilo ndo la msingi kwangu......gharama haiwezi kunishinda.😂😂😂 yale yale nimetokaa kuongea hapa ! Ww ungekuwa na hela hiyo tv wala usingekuja hapa kuulizia ni wapi utaenda kutengeneza maana sehem ni nyingi ila garamaa ndo itakutoa ushuzii... hao wanaokuambia kariako usifikiri ukija huku ni mteremko... watu wanafanya kazi kwa kujuana ... fundi anaweza kuenda akamaliza kila kitu kwa laki mbili na nusu ila ww nenda uskie bei zake ! Wakikiona tuu bei utakayotajiwa utaona bora ujipinde ununue nyingine .... cha msingi mtafte fundi unae mwamini mpee kazi ili incase of anything unaweza ukapambana nae
Mkuu hayo madude yakisumbua kioo achana nayo tupa nunua nyingne tofauti na hapo utakula hasara na tv haiponi.Nina LG yangu nchi 49 imekufa kioo, ni wapi nitapata mkuu....na bei ikoje.
AsanteUnajua sisi watanzania tunapenda sana kuiga maisha binafsi tv bora ni tv yenye kuendana na kipato na maisha yako ki ujumla ... sasa unakuta mtu anakuambia ujipindee uchukue LG au Samsung au Sony wakati kwenye maintenance itakutoa ushuzii... nikizungumzia maintenance nazungumzia tatizo ambalo ni majanga kwa wengi,ambay kioo cha tv... je utakuwa na uwezo wa kubadilii ?? Je mfuko wa shatii inasoma ???
Zipo tv zenye uwezo wa kukidhi mahitaji mfano
-Blackstone
-TCL
-Hisense
-Star x
Zenye kuleta muonekano mzuri ni nchi 28 na kuendelea [emoji91]
Mafundi wa kibongo chenga sana, ni bora angejaribu na kioo cha TV nzima kabla ya kuagiza......ukiona hivyo hawawezi kufanya diagnosis ya tatizo la kioo, wanabahatisha bahatisha tu.Mkuu hayo madude yakisumbua kioo achana nayo tupa nunua nyingne tofauti na hapo utakula hasara na tv haiponi.
Samsung yangu iliharibika kioo nikaenda kwa dealer akasema kioo ni laki 4 ,nikatoa pesa kioo kikaagizwa lakini bado tv haikuwaka nikaamua kuachana nayo nikavuta Sony ndio nipo nayo
Chukua Samsung Smart 65 Inches ni safi kabisa kwa muda wa miaka ipo palepaleNdugu wanajamiiforum
Zitatajwa kila kampuni ila kwa sasa sijaona na sidhani kama HISENSE ana mpinzani.
ukiwatoa hao uliowataja,HAKUNA tv kukuta HISENSE.
Ila kama ni.mpenda ma TV yenye ma double glass, ukifika dukani wanalipiga piga na Remote kukuonyesha ubora wake HISENSE sio chaguo lako.
One and Only HISENSE
Nataka kubadili tv nichukue flat nzuri zaidi maana nilikua na Singsung nchi 25
Wakuu ni TV ni brand gani ya tv za flat ni nzuri,imara,picha nzuri, na zenye ubora?
Maana sahivi TV zimekua nyingi sana madukani na Brand tofauti tofauti
Ukiachana na Samsung, Sony, Lg, Tcl nk ambazo tv zake ni nzuri ila bei ni imechangamka kidogo, ni brand gani hizi za kichina au zisizo za kichina ambazo ni nzuri sana kwa mtu kununua?
Nataka nichukue inch 32 au inchi 40 ndo maana nauliza ni brand ipi nzuri na affordable ila nzuri kununua?
We Kama upo DSM nenda kariakoo maduka ya wachina utapata Tv Bei sawa na bure Mimi Nina miez tisa nimechukua 320k nch 40 LGKabisa
Nunua Tv mpya mkuu acha kuangaika Tv zimeshuka Bei SanaMafundi wazuri wako wapi, maana hilo ndo la msingi kwangu......gharama haiwezi kunishinda.
Chukua TV zenye Low power consumption ,4K and Smart.
Star-X watu wanaichukulia poa sana, sijui kwa sababu haina promo!? Ni non-made in china, ina bass, full HD ila watu kwa sasa wamekalili HisenseStar X nch 43 akiwa na around 700 anachukua
Nchi 32 akiwa na 400 anapata, tena na hivi TV zimekuwa nyingi, chenji inaweza kurudi