Naomba Msaada wa kujua Brand bora ya TV ya kununua kwa sasa

Naomba Msaada wa kujua Brand bora ya TV ya kununua kwa sasa

kama bajet ndogo tulia kwenye boss tu inakutosha... kumbuka kkoo bei nyingi za tv ni kulingana na duka,uongeaji wako na muuzaji uliyekutana naye...
nenda na hii akili inchi 32 usinunue juu ya 250k na hizo 40 kwa 43 usivuke 650k kwa hiz zisizo smart
Asante
 
Unajua sisi watanzania tunapenda sana kuiga maisha binafsi tv bora ni tv yenye kuendana na kipato na maisha yako ki ujumla ...

sasa unakuta mtu anakuambia ujipindee uchukue LG au Samsung au Sony wakati kwenye maintenance itakutoa ushuzii...

Nikizungumzia maintenance nazungumzia tatizo ambalo ni majanga kwa wengi,ambay kioo cha tv... je utakuwa na uwezo wa kubadilii ?? Je mfuko wa shatii inasoma?

Zipo tv zenye uwezo wa kukidhi mahitaji mfano
  • Blackstone
  • TCL
  • Hisense
  • Star x

Zenye kuleta muonekano mzuri ni nchi 28 na kuendelea [emoji91]
Hapohapo kwenye kioo
Hisense Tv inchi 42 kioo kimepasuka
Mwenye anaweza nielekeza kwa kukipata kipya ninunue ...na bei gani kioo na matengenezo???
 
Hizo brands kubwa Sina hakika kama zina TV za DC&AC kwenye mzunguko kibongobongo hivyo nilinunua brand "uchwara" ya kichina kwa ajili ya matumizi ya sola na ni miaka 8 sasa hakuna changamoto yoyote si picha si sauti.
 
Unajua sisi watanzania tunapenda sana kuiga maisha binafsi tv bora ni tv yenye kuendana na kipato na maisha yako ki ujumla ...

sasa unakuta mtu anakuambia ujipindee uchukue LG au Samsung au Sony wakati kwenye maintenance itakutoa ushuzii...

Nikizungumzia maintenance nazungumzia tatizo ambalo ni majanga kwa wengi,ambay kioo cha tv... je utakuwa na uwezo wa kubadilii ?? Je mfuko wa shatii inasoma?

Zipo tv zenye uwezo wa kukidhi mahitaji mfano
  • Blackstone
  • TCL
  • Hisense
  • Star x

Zenye kuleta muonekano mzuri ni nchi 28 na kuendelea 🔥
Tv zote kubadili kioo ni zaidi ya asilimia 50 ya thamani halisi ya tv, kikawaida tv kubadili kioo si uamuzi wa busara, ndio maana unaona nadra kukuta spare za vioo.
 
Ndugu wanajamiiforum

Nataka kubadili tv nichukue flat nzuri zaidi maana nilikua na Singsung nchi 25

Wakuu ni TV ni brand gani ya tv za flat ni nzuri,imara,picha nzuri, na zenye ubora?

Maana sahivi TV zimekua nyingi sana madukani na Brand tofauti tofauti

Ukiachana na Samsung, Sony, Lg, Tcl nk ambazo tv zake ni nzuri ila bei ni imechangamka kidogo, ni brand gani hizi za kichina au zisizo za kichina ambazo ni nzuri sana kwa mtu kununua?

Nataka nichukue inch 32 au inchi 40 ndo maana nauliza ni brand ipi nzuri na affordable ila nzuri kununua?
Budget, ukubwa wa TV unayotaka na matumizi yako ni information muhimu kwenye huu uzi wako.
 
Wakuu TV langu haliwaki Samsung msaada tafadhali kwa mafundi wazuri wa TV.
 
Tv zote kubadili kioo ni zaidi ya asilimia 50 ya thamani halisi ya tv, kikawaida tv kubadili kioo si uamuzi wa busara, ndio maana unaona nadra kukuta spare za vioo.
Ivi mkuu TV ikizingua kuwaka tatizo inakuwa ni nini? Yani ukiwasha inajizima enyewe. Nimekosa uhondo wa epl tangu krismass Samsung tv yangu inazingua
 
So Achukue ya bei gani?
1. Hisense
2. Solarmax (Hii nilienda na mtu kununua kkoo kitambo kidogo, wakatupa na warranty ya mwaka mzima, mpaka sasa bado inadunda, tulichukua yenye double screen).

Kikubwa nimeona kama hauna mambo mengi na upo sehemu ya utulivu, hizi za TCL, Boss n.k zinadumu vizuri tu.
 
Back
Top Bottom