Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asantekama bajet ndogo tulia kwenye boss tu inakutosha... kumbuka kkoo bei nyingi za tv ni kulingana na duka,uongeaji wako na muuzaji uliyekutana naye...
nenda na hii akili inchi 32 usinunue juu ya 250k na hizo 40 kwa 43 usivuke 650k kwa hiz zisizo smart
Uliivuta kwa mia ngapHii kampuni ya Hisense ni moto, ninayo inchi 43 hakika sijawahi jutia kuwa nayo
750k, ni smart ila kwa sasa sijui bei yakeUliivuta kwa mia ngap
Hapohapo kwenye kiooUnajua sisi watanzania tunapenda sana kuiga maisha binafsi tv bora ni tv yenye kuendana na kipato na maisha yako ki ujumla ...
sasa unakuta mtu anakuambia ujipindee uchukue LG au Samsung au Sony wakati kwenye maintenance itakutoa ushuzii...
Nikizungumzia maintenance nazungumzia tatizo ambalo ni majanga kwa wengi,ambay kioo cha tv... je utakuwa na uwezo wa kubadilii ?? Je mfuko wa shatii inasoma?
Zipo tv zenye uwezo wa kukidhi mahitaji mfano
- Blackstone
- TCL
- Hisense
- Star x
Zenye kuleta muonekano mzuri ni nchi 28 na kuendelea [emoji91]
Napendekeza skyworth.Star-X
Skyworth
Hapo utakua umeula, me nlishauliwa na wadau humuhumu jf, nkadeal na hizo mbili, hazina mbambamba.
Nayeyuka kitahilatahila
Tv zote kubadili kioo ni zaidi ya asilimia 50 ya thamani halisi ya tv, kikawaida tv kubadili kioo si uamuzi wa busara, ndio maana unaona nadra kukuta spare za vioo.Unajua sisi watanzania tunapenda sana kuiga maisha binafsi tv bora ni tv yenye kuendana na kipato na maisha yako ki ujumla ...
sasa unakuta mtu anakuambia ujipindee uchukue LG au Samsung au Sony wakati kwenye maintenance itakutoa ushuzii...
Nikizungumzia maintenance nazungumzia tatizo ambalo ni majanga kwa wengi,ambay kioo cha tv... je utakuwa na uwezo wa kubadilii ?? Je mfuko wa shatii inasoma?
Zipo tv zenye uwezo wa kukidhi mahitaji mfano
- Blackstone
- TCL
- Hisense
- Star x
Zenye kuleta muonekano mzuri ni nchi 28 na kuendelea 🔥
Budget, ukubwa wa TV unayotaka na matumizi yako ni information muhimu kwenye huu uzi wako.Ndugu wanajamiiforum
Nataka kubadili tv nichukue flat nzuri zaidi maana nilikua na Singsung nchi 25
Wakuu ni TV ni brand gani ya tv za flat ni nzuri,imara,picha nzuri, na zenye ubora?
Maana sahivi TV zimekua nyingi sana madukani na Brand tofauti tofauti
Ukiachana na Samsung, Sony, Lg, Tcl nk ambazo tv zake ni nzuri ila bei ni imechangamka kidogo, ni brand gani hizi za kichina au zisizo za kichina ambazo ni nzuri sana kwa mtu kununua?
Nataka nichukue inch 32 au inchi 40 ndo maana nauliza ni brand ipi nzuri na affordable ila nzuri kununua?
Ivi mkuu TV ikizingua kuwaka tatizo inakuwa ni nini? Yani ukiwasha inajizima enyewe. Nimekosa uhondo wa epl tangu krismass Samsung tv yangu inazinguaTv zote kubadili kioo ni zaidi ya asilimia 50 ya thamani halisi ya tv, kikawaida tv kubadili kioo si uamuzi wa busara, ndio maana unaona nadra kukuta spare za vioo.
Inaonesha tu taa ama inaonesha hadi logo ya SamsungIvi mkuu TV ikizingua kuwaka tatizo inakuwa ni nini? Yani ukiwasha inajizima enyewe. Nimekosa uhondo wa epl tangu krismass Samsung tv yangu inazingua
1. HisenseSo Achukue ya bei gani?
ZipoYan
Sema wameboa hawana microwave oven
Nimetafuta mpaka nikachoka
Inaonesha tu taa bas haifiki kwenye logo mkuuInaonesha tu taa ama inaonesha hadi logo ya Samsung
Then ni Tatizo la hardware mkuu itahitaji fundi.Inaonesha tu taa bas haifiki kwenye logo mkuu
Yani ukiwasha tu inatowa ule mlio wake afu inazima mzeebaba😭😭Inaonesha tu taa ama inaonesha hadi logo ya Samsung