Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 31,559
- 42,179
Mlio gani?Yani ukiwasha tu inatowa ule mlio wake afu inazima mzeebabağŸ˜ğŸ˜
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mlio gani?Yani ukiwasha tu inatowa ule mlio wake afu inazima mzeebabağŸ˜ğŸ˜
Aha tatizo lake si linatatulika?Then ni Tatizo la hardware mkuu itahitaji fundi.
Fundi akifanya Diagnosis ndio utajua inaweza kuwa tatizo dogo tu.Aha tatizo lake si linatatulika?
Dah tatizo kupata fundi mzuri sasaFundi akifanya Diagnosis ndio utajua inaweza kuwa tatizo dogo tu.
Ila TV si kama simu haina mambo mengi humo ndani mafundi wengi wanazijulia.Dah tatizo kupata fundi mzuri sasa
Powa powa mkuu asante ngoja nipambanie keshoIla TV si kama simu haina mambo mengi humo ndani mafundi wengi wanazijulia.
UmemalizaUnajua sisi watanzania tunapenda sana kuiga maisha binafsi tv bora ni tv yenye kuendana na kipato na maisha yako ki ujumla ...
sasa unakuta mtu anakuambia ujipindee uchukue LG au Samsung au Sony wakati kwenye maintenance itakutoa ushuzii...
Nikizungumzia maintenance nazungumzia tatizo ambalo ni majanga kwa wengi,ambay kioo cha tv... je utakuwa na uwezo wa kubadilii ?? Je mfuko wa shatii inasoma?
Zipo tv zenye uwezo wa kukidhi mahitaji mfano
- Blackstone
- TCL
- Hisense
- Star x
Zenye kuleta muonekano mzuri ni nchi 28 na kuendelea
Juzi nimechukua Mnyama LG 55" Smart yaani hapa nashindwa hata kutoka na hivi nipo mapumziko kazini acha kabisa.Tafuta ya Bei kubwa na hiyo ndo Bora zaidi brand LG usitoke nje ya hapo
Bei ?Juzi nimechukua Mnyama LG 55" Smart yaani hapa nashindwa hata kutoka na hivi nipo mapumziko kazini acha kabisa.
2mBei ?
Nina LG yangu nchi 49 imekufa kioo, ni wapi nitapata mkuu....na bei ikoje.
Nina LG yangu nchi 49 imekufa kioo, ni wapi nitapata mkuu....na bei ikoje.
Nashukuru mzee nimeshampelekea fundi kariakoo amei fix.Kioo ninacho kaka, nipo Dodoma
Lakini Tv zimeshuka Sana Bei ukiwa na 300k unamilik nch
Tv ganj hiyo mkuu?Aisee kweli zimeshuka ,mimi nakumbuka long time 2010 nilinunua 42" kwa laki 8 mtumba.
2021 nikanunua 32" kwa 350k ,leo 43" ni 350k? Kuna jamaa aliniambia 600k
Tv ganj hiyo mkuu?
Vipi koditek mkuu ipo njema kweli?Star-X
Skyworth
Hapo utakua umeula, me nlishauliwa na wadau humuhumu jf, nkadeal na hizo mbili, hazina mbambamba.
Nayeyuka kitahilatahila
Dah!! "Nayeyuka kitahilatahila"Star-X
Skyworth
Hapo utakua umeula, me nlishauliwa na wadau humuhumu jf, nkadeal na hizo mbili, hazina mbambamba.
Nayeyuka kitahilatahila