King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Nunua Tv mpya mkuu acha kuangaika Tv zimeshuka Bei Sana
Watu wanunua Nchi 43 kwa 350k sasa sijui unaangaika Nini??
Aisee kweli zimeshuka ,mimi nakumbuka long time 2010 nilinunua 42" kwa laki 8 mtumba.
2021 nikanunua 32" kwa 350k ,leo 43" ni 350k? Kuna jamaa aliniambia 600k