Naomba Msaada wa kujua Brand bora ya TV ya kununua kwa sasa

Naomba Msaada wa kujua Brand bora ya TV ya kununua kwa sasa

kama bajet ndogo tulia kwenye boss tu inakutosha... kumbuka kkoo bei nyingi za tv ni kulingana na duka,uongeaji wako na muuzaji uliyekutana naye...
nenda na hii akili inchi 32 usinunue juu ya 250k na hizo 40 kwa 43 usivuke 650k kwa hiz zisizo smart
 
Nunua Tv mpya mkuu acha kuangaika Tv zimeshuka Bei Sana
Watu wanunua Nchi 43 kwa 350k sasa sijui unaangaika Nini??
Naogopa sub-standard mkuu, maana hii ya kwangu nchi 49 LG nilinunua 1.5m kariakoo, ilikuwa mwaka 2016...
 
Mh
Kwahiyo unatupa bei za China?
Labda ziwe zimeshuka disemba hii.
Ila hapo Nov mzigo ulikuwa vile vile tu.


Tv zimeshuka Bei Sana sijui Kama mnajua Hilo tatizo watu hata hamsafiri siku mkifika huko China mtashanga Sana Bei ya hivyo vitu.
 
Tv zimeshuka Bei Sana sijui Kama mnajua Hilo tatizo watu hata hamsafiri siku mkifika huko China mtashanga Sana Bei ya hivyo vitu.
Nakuelewa sana waitu, siku ukienda holiday huko ulaya nishtue nikuagize TV ya kisasa kabisa.......mimi mtani wako sijawahi kabisa kupanda ndege.
 
Star-X watu wanaichukulia poa sana, sijui kwa sababu haina promo!? Ni non-made in china, ina bass, full HD ila watu kwa sasa wamekalili Hisense
Iko vizuri sana hiyo. Na sio hiyo tu, nakumbuka 2013 nilinunuaga Iris inch 32, tena used Toka kwa mtu. Ipo inafanya kazi mpaka leo.

Hiyo star X nilinunua 2019, mpaka leo inadunda
 
Ndugu wanajamiiforum

Nataka kubadili tv nichukue flat nzuri zaidi maana nilikua na Singsung nchi 25

Wakuu ni TV ni brand gani ya tv za flat ni nzuri,imara,picha nzuri, na zenye ubora?

Maana sahivi TV zimekua nyingi sana madukani na Brand tofauti tofauti

Ukiachana na Samsung, Sony, Lg, Tcl nk ambazo tv zake ni nzuri ila bei ni imechangamka kidogo, ni brand gani hizi za kichina au zisizo za kichina ambazo ni nzuri sana kwa mtu kununua?

Nataka nichukue inch 32 au inchi 40 ndo maana nauliza ni brand ipi nzuri na affordable ila nzuri kununua?
Hakuna nyingine zaidi ya ulizozitaja.
 
Back
Top Bottom