King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Nunua Tv mpya mkuu acha kuangaika Tv zimeshuka Bei Sana
Watu wanunua Nchi 43 kwa 350k sasa sijui unaangaika Nini??
Hisense chenga tupu , picha ili iwe Bora kuna vitu vingi Sana vinahitajika ,... Hata hvyo TV zote kioo ni vulnerable ,Kwa sasa ni hisense mzee ndio ipo moto. Picha yake ipo vizuri sana.
Aisee kweli zimeshuka ,mimi nakumbuka long time 2010 nilinunua 42" kwa laki 8 mtumba.
2021 nikanunua 32" kwa 350k ,leo 43" ni 350k? Kuna jamaa aliniambia 600k
Nchi ngap kwa hiyo 4k?
Naogopa sub-standard mkuu, maana hii ya kwangu nchi 49 LG nilinunua 1.5m kariakoo, ilikuwa mwaka 2016...Nunua Tv mpya mkuu acha kuangaika Tv zimeshuka Bei Sana
Watu wanunua Nchi 43 kwa 350k sasa sijui unaangaika Nini??
Tv zimeshuka Bei Sana sijui Kama mnajua Hilo tatizo watu hata hamsafiri siku mkifika huko China mtashanga Sana Bei ya hivyo vitu.Naogopa sub-standard mkuu, maana hii ya kwangu nchi 49 LG nilinunua 1.5m kariakoo, ilikuwa mwaka 2016...
Tv zimeshuka Bei Sana sijui Kama mnajua Hilo tatizo watu hata hamsafiri siku mkifika huko China mtashanga Sana Bei ya hivyo vitu.
YanHISENSE WAKO VIZURI
Nakuelewa sana waitu, siku ukienda holiday huko ulaya nishtue nikuagize TV ya kisasa kabisa.......mimi mtani wako sijawahi kabisa kupanda ndege.Tv zimeshuka Bei Sana sijui Kama mnajua Hilo tatizo watu hata hamsafiri siku mkifika huko China mtashanga Sana Bei ya hivyo vitu.
Aha hao.nafikiri wame base na ma tv ,fridge na radioYan
Sema wameboa hawana microwave oven
Nimetafuta mpaka nikachoka
Aha hao.nafikiri wame base na ma tv ,fridge na radio
Sawa wako vizuri,wameleta upinzani Kwa Samsung nna life's goodFridge zao ziko poa 🙌
Hazina kelele ile ya kusikika
Iko vizuri sana hiyo. Na sio hiyo tu, nakumbuka 2013 nilinunuaga Iris inch 32, tena used Toka kwa mtu. Ipo inafanya kazi mpaka leo.Star-X watu wanaichukulia poa sana, sijui kwa sababu haina promo!? Ni non-made in china, ina bass, full HD ila watu kwa sasa wamekalili Hisense
Hakuna nyingine zaidi ya ulizozitaja.Ndugu wanajamiiforum
Nataka kubadili tv nichukue flat nzuri zaidi maana nilikua na Singsung nchi 25
Wakuu ni TV ni brand gani ya tv za flat ni nzuri,imara,picha nzuri, na zenye ubora?
Maana sahivi TV zimekua nyingi sana madukani na Brand tofauti tofauti
Ukiachana na Samsung, Sony, Lg, Tcl nk ambazo tv zake ni nzuri ila bei ni imechangamka kidogo, ni brand gani hizi za kichina au zisizo za kichina ambazo ni nzuri sana kwa mtu kununua?
Nataka nichukue inch 32 au inchi 40 ndo maana nauliza ni brand ipi nzuri na affordable ila nzuri kununua?