Ulongupanjala
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 8,273
- 13,567
Nataka kujenga hoja baada ya wewe kujibu swali langu.
Mbona povu jingi aiseee?
Mbona povu jingi aiseee?
Kwamba wewe umesomea vitu vya maana?
Na kama umesomea vitu vya maana, usinge fanya kitu kinaitwa Ad Hominem.
...
Badala ya kujikita kwenye mada, utoe ushauri ama msaada, wewe unajikita kwenye Elimu yangu.
Soma tena.