HABARI NDUGU zangu,
Wiki kadhaa zilizopita nilipata wazo kutoka kwa wadau humu humu Jamii Forums kuhusu kufatilia kazi kwny kampun ya GardaWorld security. ASA tayr nimeshafatilia sasa kuna kipengele cha kupata wadhamini wawili wenye vigezo, Vigevyo mabvyo no km ni mfanyabiashara basi awe na Leseni ya biashara na NIDA.
Kama ni mtu ameajiriwa sehem lazima awe na Kitambulisho cha Kazi pamoja na NIDA, na pia kuna form maalum za mdhamini wangu kujaza kule kule ofisin kwa manaake inahitaji niende na mdhamin kule ofisin akajaze form ili wapate uhakika na MTU ambaye wanataka kumuajiri.
Mpka sasa tayari nimeshapata mdhamin mmoja mwenye vigezo vyote Ila BADO MDHAMINI MMOJA hivo naomba Ndugu zangu km kuna mwenye hivyo vigezo nilivyotaja hapo juu naomba anicheki anisaidie mana icho kigezo ndo kinachonisumbua ofisi zao zipo mikocheni Mim nipo Mbagala.
Gharama za usafiri na angalau hela kdg ya shukran nitakupa ili kukupa nguvu yakunisaidia.
Naomba sana. Namba yangu ni 0693206150.