- Thread starter
- #21
Wewe una tatizo la kisaikolojia zaidi na sio tatizo la kimwili....nakushauri achana na dawa tafuta mwanamke utakaemwamini uwe muwazi kwake umuombe akusaidie kuovercome hilo tatizo
Ndio ameshachoka ananikimbia mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe una tatizo la kisaikolojia zaidi na sio tatizo la kimwili....nakushauri achana na dawa tafuta mwanamke utakaemwamini uwe muwazi kwake umuombe akusaidie kuovercome hilo tatizo
Hapo kwenye wengi umenishtua... buana shemej... i hope atakuwa sawa... yeah i hope.... sorry 😆 😅 🤣Pole Mimi si mwanaume Ila utakuwa umeathirika kisaikolojia, acha kuangalia porn, fanya mazoezi, eat balanced diet, relax ondoa mfadhaiko utarudi normal achana na hzo Viagra pia usisahau kusali maana hilo janga linawasumbua wanaume wengi
Ndiyo. Mimi naenda sekunde 60 na sirudii tenaMkuu sekunde 5 - 10 unaiita roundi?
Ndiyo. Mimi naenda sekunde 60 na sirudii tena
Na akacheki Kama hormone balance iko okPole mkuuu sikushauri kutumia viagra coz utakuwa teja . Yaan tegemez cha msingi cheki kama una matatizo mengine ya afya kama presha na kisukari na piga sana tizi hasa running na weight kidogo maji mengi na matunda punguza wanga na ongeza protein
Wewe tatizo lako la kisaikolojia zaidi
- Linasimama ila linakua legelege hata uingiaji wake ni watubu kidogo
- Na ndani ya sekunde 5 - 10 wazungu wanatoka, naweza kurudia lakini baada ya muda mrefu kidogo ila nayo ni pia akiingia tu ndani ya sekunde 5 - 10 wazungu wanatoka.
Huu mtihani mkuubwa Sana ..DoohMkuu sekunde 5 - 10 unaiita roundi?
jamani😔😔.pole mkuuNdio ameshachoka ananikimbia mkuu
Sio bwana shemegi Mimi marafiki wengi wakiume Wana hii changamoto mkuuHapo kwenye wengi umenishtua... buana shemej... i hope atakuwa sawa... yeah i hope.... sorry [emoji38] [emoji28] [emoji1787]
Ahaha we jamaa dahPole sana Mkuu, ila kama bado unafunga magoli ya kidhulumishi (goli la mkono) au kukodolea sana yale mambo yetu acha, baada ya miezi kadhaa utakua kama superman. likewise, icho kiungo kama akifanyishwi mazoezi kwa muda mrefu hukataga tamaa na kususa.
Mtu yeyote anayeshusha manii ndani ya sekunde ulizotaja mtoa mada maana yake una matatizo ya psychology. We huna tatizo la nguvu za kiume.
Na tatizo hilo la kisaikolojia limesababishwa na low libido mpaka imekupeleka kutojiamini.
Huu mtihani mkuubwa Sana ..Dooh
Nimetamani hata kulia
Pole Sana mkuuu
jamani😔😔.pole mkuu