Naomba muongozo wa matumizi ya dawa za jamii ya viagra

Naomba muongozo wa matumizi ya dawa za jamii ya viagra

Pole sana mkuu, kama hujaoa hebu jipe likizo ya sex kwa siku 30 tu, ndani ya siku hizo hakikisha kwa siku unakula tende ata 4 tu,ndizi za kuiva 2-3,vitunguu swaumu unameza punje 5 kila ukienda kulala,ukipata asali kijiko kimoja cha chakula(asali mbichi),hakikisha unakula mboza za majani kwa wingi,unakaaa mbali na chips,soda na mayai ya kisasa,maji unywe ya kutosha, mazoezi muhimu... alafu tafuta dawa inaitwa Msamiwati kwenye maduka ya sunna,chemsha kunywa kwa muda huo wa siku 30 majib utayapata... na kikubwa zaidi ni jiamini usipaniq
 
Mkuu hiyo Libido ndio nini

Libido(Nyege au Ashiki) refers to sexual desire, or the emotion and mental energy related to sex. Another term for it is “sex drive.” Your libido is influenced by: biological factors, such as testosterone and estrogen levels. psychological factors, such as stress levels.
 
Fafanua hapa usaidie wengi. Punje za vitunguu swaumu anatafuna au Anameza hivyo hivyo? Sababu kutafuna vina harufu Sana si atamkera mpenzi wake?
 
Naona kila anayeshauri upande wa vyakula Anataja tikiti.. hili tunda lina uhusiano Gani na hayo matatizo ya nguvu za kiume?
 
Naomba huu uzi usiufute ili uje utoe ushuhuda nna kupa dawa ndani ya siku tatu ntaomba uje ulete mrejesho,vumbi la congo,viagra na dawa nyingine zote za kupaka siyo tiba ya upungufu wa nguvu za kiume bali kujinaliza tu nitafute
0623953036 nipo dar
 
wanaume wengi Wana Hii changamoto why usieleze hapa usaidie na wengine kuliko kuomba ufuatwe inbox?
Kuna maelekezo nataka nimpe mkuu alafu niliposema aje inbox haimannishi nafanya biashara mkuuu tunasaidiana 2 siitaji hata shilingi mia
 
Boss njoo inbox nitakuelekeza dawa buree kabisaaa
Inbox afuate nini sasa? Elimu ya JF inatolewa kwenye thread hata miaka 10 ijayo mtu mwingine akipitia hii thread atapata elimu kama ni kweli una hiyo dawa ya kumsaidia muhusika.
 
Inbox afuate nini sasa? Elimu ya JF inatolewa kwenye thread hata miaka 10 ijayo mtu mwingine akipitia hii thread atapata elimu kama ni kweli una hiyo dawa ya kumsaidia muhusika.
Nikweli upo sahihi kuna maelekezo nataka nimpe sina nia mby
 
  • Linasimama ila linakua legelege hata uingiaji wake ni watubu kidogo
  • Na ndani ya sekunde 5 - 10 wazungu wanatoka, naweza kurudia lakini baada ya muda mrefu kidogo ila nayo ni pia akiingia tu ndani ya sekunde 5 - 10 wazungu wanatoka.
Mkuu pole sana ila hayo yote naona una dalili za sukar,kabla hujafikiria kutumia hio midawa ya kisasa nakushauri kwanza kaangalie level ya sukari yako.kila ugonjwa una dawa isipokuwa vitu 2.uzee na umauti ila vingine vyote vinatibika
 
Kama unatumia usiongeze dozi kabisa fanya kidogo na ubust kwa mara ya kwanza upate confidence ila isiwe kila siku
 
  • Linasimama ila linakua legelege hata uingiaji wake ni watubu kidogo
  • Na ndani ya sekunde 5 - 10 wazungu wanatoka, naweza kurudia lakini baada ya muda mrefu kidogo ila nayo ni pia akiingia tu ndani ya sekunde 5 - 10 wazungu wanatoka.
Kwa maelezo haya tatizo lako ni la kiakili au kihisia... Jaribu hivi tafuta mtoto mkalii unayedhani amekuvutia sanaa, then ukiwa naye room don't rush kumgegeda, spend more time Kwa foreplay au romances akiwa na underwear, play music [emoji445] ili akili yako iweze ku absorb her beauty. Yaani akili yako iwe muda huo inamuwaza yeye tuu na uzuri wake. Hiyo itafanya mentally usiwe distracted na chochote bali kuwaza kumtia tuu,kitu kitakachokupa full erection. Another thing kamwe usipige game ukiwa umezima taa au umefumba macho, turn everything on her eyes, nipples, mapaja etc.... Jifunze pia meditation coz it seems huwa unakuwa distracted sometimes...
 
Mkuu ,,,,ikishindikana take easy ubstain..watu kibao Wana matatizo sio ww tu ,sjajua Kama wanafuraha kweli ila wanaskuma maisha na familia
 
mimi nimefikia hatua hio baada ya miaka kadhaa kuhangaika na madawa. mwanzo ilikua ni moja tu tena baada ya hapo maumivu na uchovu si wakawaida kabisa
Mimi nasema hauhitaji viagra bado. Daktari ataprove maoni yangu.
 
Back
Top Bottom