malembeka18
JF-Expert Member
- Jan 26, 2018
- 3,266
- 3,698
Mkuu kamuone urology specialist Dr deogratius mahenda Prof yongolo,dk Zakir Akbar,gyne dr getude,dk y kaponaAsante
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu kamuone urology specialist Dr deogratius mahenda Prof yongolo,dk Zakir Akbar,gyne dr getude,dk y kaponaAsante
Mkuu hiyo Libido ndio nini
wanaume wengi Wana Hii changamoto why usieleze hapa usaidie na wengine kuliko kuomba ufuatwe inbox?Boss njoo inbox nitakuelekeza dawa buree kabisaaa
Kuna maelekezo nataka nimpe mkuu alafu niliposema aje inbox haimannishi nafanya biashara mkuuu tunasaidiana 2 siitaji hata shilingi miawanaume wengi Wana Hii changamoto why usieleze hapa usaidie na wengine kuliko kuomba ufuatwe inbox?
Nakaziaawanaume wengi Wana Hii changamoto why usieleze hapa usaidie na wengine kuliko kuomba ufuatwe inbox?
Inbox afuate nini sasa? Elimu ya JF inatolewa kwenye thread hata miaka 10 ijayo mtu mwingine akipitia hii thread atapata elimu kama ni kweli una hiyo dawa ya kumsaidia muhusika.Boss njoo inbox nitakuelekeza dawa buree kabisaaa
Upigaji huu, unashindwa vipi kutowa maelezo hapa?naomba huu uzi usiufute ili uje utoe ushuhuda nna kupa dawa ndani ya siku tatu ntaomba uje ulete mrejesho,vumbi la congo,viagra na dawa nyingine zote za kupaka siyo tiba ya upungufu wa nguvu za kiume bali kujinaliza tu nitafute
0623953036 nipo dar
Nikweli upo sahihi kuna maelekezo nataka nimpe sina nia mbyInbox afuate nini sasa? Elimu ya JF inatolewa kwenye thread hata miaka 10 ijayo mtu mwingine akipitia hii thread atapata elimu kama ni kweli una hiyo dawa ya kumsaidia muhusika.
Weka maelezo hapa hadharani.Nikweli upo sahihi kuna maelekezo nataka nimpe sina nia mby
Mkuu pole sana ila hayo yote naona una dalili za sukar,kabla hujafikiria kutumia hio midawa ya kisasa nakushauri kwanza kaangalie level ya sukari yako.kila ugonjwa una dawa isipokuwa vitu 2.uzee na umauti ila vingine vyote vinatibika
- Linasimama ila linakua legelege hata uingiaji wake ni watubu kidogo
- Na ndani ya sekunde 5 - 10 wazungu wanatoka, naweza kurudia lakini baada ya muda mrefu kidogo ila nayo ni pia akiingia tu ndani ya sekunde 5 - 10 wazungu wanatoka.
Kwa maelezo haya tatizo lako ni la kiakili au kihisia... Jaribu hivi tafuta mtoto mkalii unayedhani amekuvutia sanaa, then ukiwa naye room don't rush kumgegeda, spend more time Kwa foreplay au romances akiwa na underwear, play music [emoji445] ili akili yako iweze ku absorb her beauty. Yaani akili yako iwe muda huo inamuwaza yeye tuu na uzuri wake. Hiyo itafanya mentally usiwe distracted na chochote bali kuwaza kumtia tuu,kitu kitakachokupa full erection. Another thing kamwe usipige game ukiwa umezima taa au umefumba macho, turn everything on her eyes, nipples, mapaja etc.... Jifunze pia meditation coz it seems huwa unakuwa distracted sometimes...
- Linasimama ila linakua legelege hata uingiaji wake ni watubu kidogo
- Na ndani ya sekunde 5 - 10 wazungu wanatoka, naweza kurudia lakini baada ya muda mrefu kidogo ila nayo ni pia akiingia tu ndani ya sekunde 5 - 10 wazungu wanatoka.
Mimi nasema hauhitaji viagra bado. Daktari ataprove maoni yangu.mimi nimefikia hatua hio baada ya miaka kadhaa kuhangaika na madawa. mwanzo ilikua ni moja tu tena baada ya hapo maumivu na uchovu si wakawaida kabisa