unamenya hizo punje,unaweza ukatafuna ukiweza ila pia unaeza ujavichopchop afu ukaacha ata dk 5 hiv na umeze kama dawa, kama utamezea mtindi ni vizuri zaidi ila kama huwezi kuupata,maji unywe mengiFafanua hapa usaidie wengi. Punje za vitunguu swaumu anatafuna au Anameza hivyo hivyo? Sababu kutafuna vina harufu Sana si atamkera mpenzi wake?
Libido(Nyege au Ashiki) refers to sexual desire, or the emotion and mental energy related to sex. Another term for it is “sex drive.” Your libido is influenced by: biological factors, such as testosterone and estrogen levels. psychological factors, such as stress levels.
mbona nyege nakuwa nazo mkuu, au kuwa na nyege ni vipi? mana kama kutamani wanawake natamani sana tu
Nyege na kutamani ni vitu viwili tofauti mkuu.....Hata KHANITHI naye anakuwa anatamani.
Mkuu unaendeleaje ushapata tibaDah basi naomba ufafanuzi mkuu. Kuwa na nyege ni vipi, na kama sina nianze kuchukua hatua gani
Mkuu unaendeleaje ushapata tiba
Dah basi naomba ufafanuzi mkuu. Kuwa na nyege ni vipi, na kama sina nianze kuchukua hatua gani
Hellow.
- Linasimama ila linakua legelege hata uingiaji wake ni watubu kidogo
- Na ndani ya sekunde 5 - 10 wazungu wanatoka, naweza kurudia lakini baada ya muda mrefu kidogo ila nayo ni pia akiingia tu ndani ya sekunde 5 - 10 wazungu wanatoka.
Kingkong naona upo vizuri kwenye mombo ,,,,nilijua we ni LA tano CLibido(Nyege au Ashiki) refers to sexual desire, or the emotion and mental energy related to sex. Another term for it is “sex drive.” Your libido is influenced by: biological factors, such as testosterone and estrogen levels. psychological factors, such as stress levels.
Maana kwamfano dawa za kuongeza nguvu kama viagra, kwa maelezo ni kuwa zinafanya damu ikimbilie chini kwenye uume na kuufanya usimame kwa muda mrefuHellow , naomba kuuliza swali ili uume usimame vizuri kinachotakiwa kuwa vizuri katika mwili wako nn?
Kingkong naona upo vizuri kwenye mombo ,,,,nilijua we ni LA tano C
Mkuu usijishuku, sometimes ni mzunguko tu wa mwili unavyojisoma.Ukipanic ndio unakuwa na hofu ambayo inakuvuruga saikolojia.milo miwili napta
masuala ya kipato ni mtihani mzito mkuu
Pole mkuu, tatizo hapo ni mindset yako , sio nguvu za kiume ,
- Linasimama ila linakua legelege hata uingiaji wake ni watubu kidogo
- Na ndani ya sekunde 5 - 10 wazungu wanatoka, naweza kurudia lakini baada ya muda mrefu kidogo ila nayo ni pia akiingia tu ndani ya sekunde 5 - 10 wazungu wanatoka.