[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] we jamaa bana , unaaikubali hiyo theory ? Kwamba kiungo upokitumia kina lege lege au kinaweza kupotea kabisa ,Yes mkuu, kama umepitia pitia Biology kuna theory inaitwa use and disuse inaelezea. Na kuna mjuba alileta nyuzi kuwa eti aivokua mtoto alikua anapenda kuivuta vuta so saivi stori za vibamia kwake anaona ni stori za kusadikika.
Sasa mkuuu kinachokufanya hali yako isitengemae ni hicho kichwa chako cha kichwani ndio kinafanya kichwa chako cha miguuni kikose heshima,punguza mawazo kwenye kichwa chako cha kichwani alafu utaniambia,mawazo ni sababu kubwa inayofanya hicho kifaa kisifanye kazi ipasavyomkuu hiyo miko ya kula nishajitahidi sana bila ya matokeo. Hali yangu ni mbaya sana akili inakosa la kuwaza kabisa
Jamaa sometime walikua wanaotea otea tu, ndio yale mambo yakusema Jua lilikua linaizunguka Dunia. Wametulemaza sana na riwaya zao za kisayansi.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] we jamaa bana , unaaikubali hiyo theory ? Kwamba kiungo upokitumia kina lege lege au kinaweza kupotea kabisa ,
Mifano yao mingine et enzi hizo binadam alikua na mkia , sema ulikua hauna kazi na hautumiki mwisho wa siku ukapotea , yule dalwins alituingiza shaka [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hili tatizo kwangu halipungui mwaka wa 10 sasa nduguMkuu usijishuku, sometimes ni mzunguko tu wa mwili unavyojisoma.Ukipanic ndio unakuwa na hofu ambayo inakuvuruga saikolojia.
Usipanic kila mwanaume alishapitia situation za kutia shaka au atapitia katika life walau mara moja au zaidi.
nenda hospitali chief kwani hapa huttopata suluhishoHili tatizo kwangu halipungui mwaka wa 10 sasa ndugu
nenda hospitali chief kwani hapa huttopata suluhisho
Muhimbili,hospitali za rufaa au binafsi ambazo ni kubwa kama hindu Mandal,tmj nk.mkuu naomba recommendation za hospitali
Siku tatu tu ukitumia vitu flan flan utaona matokeo mr
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Kwanini utumie viagra mkuu wakat hii hiyo inatibika
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
kuweni makini na huu uzi kuna mtu/watu wanatafutwa hapaWakuu mimi nasumbuliwa na tatizo la nguvu za kiume kwa muda mrefu. Nimejaribu kutumia dawa nyingi sana za kienyeji pamoja na vyakula bila ya mafanikio...
watu gani wanaotafutwa mkuu?kuweni makini na huu uzi kuna mtu/watu wanatafutwa hapa
Duh! Hili tatzo kweli
- Linasimama ila linakua legelege hata uingiaji wake ni watubu kidogo
- Na ndani ya sekunde 5 - 10 wazungu wanatoka, naweza kurudia lakini baada ya muda mrefu kidogo ila nayo ni pia akiingia tu ndani ya sekunde 5 - 10 wazungu wanatoka.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] lolUnaposema una upungufu wa nguvu za kiume una maanisha nini hasa?
1. Dudu la yuyu halisimami?
2. Linasimama ila linakuwa legelege linashindwa kuzama kwenye pango la amboni?
3. Linasimama ila ndani ya sekunde ukiingia pangoni wazungu wanatoka na unashindwa kurudia?
4.Linasimama ila likiingia pangoni au katikati ya mechi linalala doro?
5...................................................................................................?
6...................................................................................................?
Acha kuwasikiliza wahuni na matapeli wa mitaani wanaojifanya wanajua kila kitu.
Kama Wazungu waanzilishi wa elimu wamepitisha jua kuwa hiyo dawa haina madhara.
Matumizi kupita kiasi ndio huleta madhara. Hata maji ukinywa hovyo yanakuua silence.
Viagra ni salama kuliko uchafu wa Kongo
wanaongamia kwa kukosa maarifawatu gani wanaotafutwa mkuu?
ahsante kwa hilo je viagra inatakiwa nile aina gan ya chakulaUSILE VIAGRA ALAFU UKAENDA KULA CHAKULA CHA MOTO TUTAKUSAHAU HAPO HAPO
Achana na viagra bruh tumia enecy na pandol pia navyo s vyema kula chakul mtunda supu utafanya vyemaahsante kwa hilo je viagra inatakiwa nile aina gan ya chakula
Wakuu mimi nasumbuliwa na tatizo la nguvu za kiume kwa muda mrefu. Nimejaribu kutumia dawa nyingi sana za kienyeji pamoja na vyakula bila ya mafanikio.
NImejaribu kutumia vumbi la congo pia limenitupa mkono....