Naomba neno moja tu la Kingereza ambalo halina tafsiri rasmi ya Kiswahili

Naomba neno moja tu la Kingereza ambalo halina tafsiri rasmi ya Kiswahili

Mkuu yapo, tena ni mengi tu, mathalani yafuatayo,
1. Achilles heel
2. Mutatis mutandis
3. Ceteris paribus
4. Dsyfunction
5. other technical jargon
6. n.k, n.k

Orodha nzuri. Tuna kazi ya kufanya....
 
Progress Update....

Nashukuru kwa wote waliochangia kwa namna moja au nyingine. Nilichojifunza kutoka kwa wote ni kwamba kuna uhitaji wa forum maalum kwa ajili ya kushirikisha jamii katika kukuza lugha yetu ya Kiswahili.

Kwa maana hiyo, muda si mrefu nitawajulisha wote release ya forum hiyo ambayo itakuwa kwenye mfumo wa mobile app. Mfumo utakuwa specific kwa ajili hiyo tu, yaani kutafsiri misamiati ya Kingereza kwenda Kiswahili.

Tusichoke! Tuendelee..
 
Kwa muda mrefu sana nimekuwa napata wakati mgumu ninapoona baadhi ya maneno ya Kingereza haswa katika Technology au professional fulani kukosa tafsiri rasmi. Hapa neno "tafsiri" nina maana ya translation. Mfano maneno kama, excavator katika context ya machinery au equipment; hearse katika context ya vehicle; au digital katika context ya technology.

Kwa maneno yenye tafsiri rasmi, nimekuwa najiuliza zinapatikanaje na mchango wa jamii ni kiasi gani. Mfano mdogo tu, dunia ilipoanza kutumia email kama njia ya mawasiliano, ilinichukua muda mrefu kujua tafsiri yake ni barua pepe. Pia nafikiri tafsiri rasmi ya Artificial Intelligence au AI, ni "Akili Mnemba." Kwa mara nyingine tena swali langu ni je, hizo tafsiri rasmi zimepatikanaje? Wananchi walihusishwa kwa kiasi gani?

Mfano mwingine ambao umenipa maswali mengi hivi karibuni ni wakati nasikiliza taarifa ya Habari ya saa mbili usiku kutoka redio moja maarufu, (bila kuitaja jina) hapa nchini. Katika kuwasilisha Habari kuhusu taifa fulani kugomea mkutano wa UN kwasababu nchi hiyo imewekwa kwenye "Blacklist", mtangazaiji alisema, (sio nukuu ya moja kwa moja), "Nchi X ilitoka nje ya mkutano kwasababu imewekwa kwenye listi nyeusi." Baada ya kusikia hivyo nikajiuliza, Je katika muktadha huo, kusema "Listi nyeusi" ndio tafsiri rasmi ya "Blacklist?"

Baada ya kusikia hivyo, ikaamsha tena chachu yangu ya kujua tunapataje tafsiri rasmi ya maneno magumu ya Kingereza na, ni jinsi gani wananchi wanaweza kujumuika katika kutatua changamoto hiyo.

Baada ya kusema hayo machache, swali langu kwako ni, je, unafikiri lugha yetu ya Kiswahili ina changamoto hiyo? Au wewe binafsi umeshawahi kukumbana nayo katika masomo yako, au kazi zako za kila siku? Kama jibu ni ndiyo, naomba neno moja tu la Kingereza ambalo unafikiri halina tafsiri rasmi. Kwa kufurahisha mjadala huu, ukiweza, pendekeza tafsiri ambayo wewe unafikiri itafaa kwa neno ulilopendekeza.

Kwanini nimeleta ombi hili kwenu? Nia kubwa iliyonifanya nilete ombi hili kwenu ni kwasababu, kwanza binafsi nafikiri hii changamoto ipo. Pili, nafikiri ingekuwa vema kama wananchi nao wangejumuishwa katika utafutaji wa tafsiri rasmi ya menono magumu au mapya ya Kingereza. Tatu, kwa kushirikisha jamii, watajiona nao ni sehemu katika kukuza Kiswahili.

Kwa kumalizia, nimepata muarobaini wa changamoto hii. Muda si mrefu, nataka niweke platform ambayo itakuwa rafiki kwa jamii nzima. Itajumuisha jamii yote ndani na nje ya nchi kwa ujumla katika kukabiliana na changamoto hii. Itasaidia kufanya watu wafikiri na kupanua mawazo.

Ndani ya siku 7, nitawajulisha jina la platform.

Nashukuru sana. Karibuni sote tujiunge kukuza Kiswahili.
ORIGINAL
 
Kwa muda mrefu sana nimekuwa napata wakati mgumu ninapoona baadhi ya maneno ya Kingereza haswa katika Technology au professional fulani kukosa tafsiri rasmi. Hapa neno "tafsiri" nina maana ya translation. Mfano maneno kama, excavator katika context ya machinery au equipment; hearse katika context ya vehicle; au digital katika context ya technology.

Kwa maneno yenye tafsiri rasmi, nimekuwa najiuliza zinapatikanaje na mchango wa jamii ni kiasi gani. Mfano mdogo tu, dunia ilipoanza kutumia email kama njia ya mawasiliano, ilinichukua muda mrefu kujua tafsiri yake ni barua pepe. Pia nafikiri tafsiri rasmi ya Artificial Intelligence au AI, ni "Akili Mnemba." Kwa mara nyingine tena swali langu ni je, hizo tafsiri rasmi zimepatikanaje? Wananchi walihusishwa kwa kiasi gani?

Mfano mwingine ambao umenipa maswali mengi hivi karibuni ni wakati nasikiliza taarifa ya Habari ya saa mbili usiku kutoka redio moja maarufu, (bila kuitaja jina) hapa nchini. Katika kuwasilisha Habari kuhusu taifa fulani kugomea mkutano wa UN kwasababu nchi hiyo imewekwa kwenye "Blacklist", mtangazaiji alisema, (sio nukuu ya moja kwa moja), "Nchi X ilitoka nje ya mkutano kwasababu imewekwa kwenye listi nyeusi." Baada ya kusikia hivyo nikajiuliza, Je katika muktadha huo, kusema "Listi nyeusi" ndio tafsiri rasmi ya "Blacklist?"

Baada ya kusikia hivyo, ikaamsha tena chachu yangu ya kujua tunapataje tafsiri rasmi ya maneno magumu ya Kingereza na, ni jinsi gani wananchi wanaweza kujumuika katika kutatua changamoto hiyo.

Baada ya kusema hayo machache, swali langu kwako ni, je, unafikiri lugha yetu ya Kiswahili ina changamoto hiyo? Au wewe binafsi umeshawahi kukumbana nayo katika masomo yako, au kazi zako za kila siku? Kama jibu ni ndiyo, naomba neno moja tu la Kingereza ambalo unafikiri halina tafsiri rasmi. Kwa kufurahisha mjadala huu, ukiweza, pendekeza tafsiri ambayo wewe unafikiri itafaa kwa neno ulilopendekeza.

Kwanini nimeleta ombi hili kwenu? Nia kubwa iliyonifanya nilete ombi hili kwenu ni kwasababu, kwanza binafsi nafikiri hii changamoto ipo. Pili, nafikiri ingekuwa vema kama wananchi nao wangejumuishwa katika utafutaji wa tafsiri rasmi ya menono magumu au mapya ya Kingereza. Tatu, kwa kushirikisha jamii, watajiona nao ni sehemu katika kukuza Kiswahili.

Kwa kumalizia, nimepata muarobaini wa changamoto hii. Muda si mrefu, nataka niweke platform ambayo itakuwa rafiki kwa jamii nzima. Itajumuisha jamii yote ndani na nje ya nchi kwa ujumla katika kukabiliana na changamoto hii. Itasaidia kufanya watu wafikiri na kupanua mawazo.

Ndani ya siku 7, nitawajulisha jina la platform.

Nashukuru sana. Karibuni sote tujiunge kukuza Kiswahili.
Frabergasted
 
Utakuwa mjadala wa kufikirisha na kufurahisha sana ukisoma mapendekezo ya watu.

Baada ya kutoa pendekezo lako ikanifanya na mimi nifikiri kidogo.

Kwa kufuata muendelezo wa tafsiri ya Smartphone kuitwa Simujanja, kwa maoni yangu mimi Bluetooth tafsiri yake iwe Wayajanja, (waya-janja). Kwanini nimetafsiri hivyo?

Wote tunajua kazi ya bluetooth, inawezesha mawasiliano ya vyombo bila kugusana. Kwa maana hiyo kwasababu tunatumia waya katika mawasiliano, ndio maana nikaja na pendekezo hilo.

Tuendelee
vipi kuhusu WI-FI
 
vipi kuhusu WI-FI

Update: Sasa maneno yote haya mnaweza kuyaweka kwenye app specific kwa maneno ya Kingereza yasiyokuwa na tafsiri kamili ya Kiswahili ili watu wengi waweze kuchangia kwa urahisi zaidi.

Application inapatikana katika link hapa chini.

Note:
App ni kwa watumiaji wa simu za Android tu.
 
Kwa muda mrefu sana nimekuwa napata wakati mgumu ninapoona baadhi ya maneno ya Kingereza haswa katika Technology au professional fulani kukosa tafsiri rasmi. Hapa neno "tafsiri" nina maana ya translation. Mfano maneno kama, excavator katika context ya machinery au equipment; hearse katika context ya vehicle; au digital katika context ya technology.

Kwa maneno yenye tafsiri rasmi, nimekuwa najiuliza zinapatikanaje na mchango wa jamii ni kiasi gani. Mfano mdogo tu, dunia ilipoanza kutumia email kama njia ya mawasiliano, ilinichukua muda mrefu kujua tafsiri yake ni barua pepe. Pia nafikiri tafsiri rasmi ya Artificial Intelligence au AI, ni "Akili Mnemba." Kwa mara nyingine tena swali langu ni je, hizo tafsiri rasmi zimepatikanaje? Wananchi walihusishwa kwa kiasi gani?

Mfano mwingine ambao umenipa maswali mengi hivi karibuni ni wakati nasikiliza taarifa ya Habari ya saa mbili usiku kutoka redio moja maarufu, (bila kuitaja jina) hapa nchini. Katika kuwasilisha Habari kuhusu taifa fulani kugomea mkutano wa UN kwasababu nchi hiyo imewekwa kwenye "Blacklist", mtangazaiji alisema, (sio nukuu ya moja kwa moja), "Nchi X ilitoka nje ya mkutano kwasababu imewekwa kwenye listi nyeusi." Baada ya kusikia hivyo nikajiuliza, Je katika muktadha huo, kusema "Listi nyeusi" ndio tafsiri rasmi ya "Blacklist?"

Baada ya kusikia hivyo, ikaamsha tena chachu yangu ya kujua tunapataje tafsiri rasmi ya maneno magumu ya Kingereza na, ni jinsi gani wananchi wanaweza kujumuika katika kutatua changamoto hiyo.

Baada ya kusema hayo machache, swali langu kwako ni, je, unafikiri lugha yetu ya Kiswahili ina changamoto hiyo? Au wewe binafsi umeshawahi kukumbana nayo katika masomo yako, au kazi zako za kila siku? Kama jibu ni ndiyo, naomba neno moja tu la Kingereza ambalo unafikiri halina tafsiri rasmi. Kwa kufurahisha mjadala huu, ukiweza, pendekeza tafsiri ambayo wewe unafikiri itafaa kwa neno ulilopendekeza.

Kwanini nimeleta ombi hili kwenu? Nia kubwa iliyonifanya nilete ombi hili kwenu ni kwasababu, kwanza binafsi nafikiri hii changamoto ipo. Pili, nafikiri ingekuwa vema kama wananchi nao wangejumuishwa katika utafutaji wa tafsiri rasmi ya menono magumu au mapya ya Kingereza. Tatu, kwa kushirikisha jamii, watajiona nao ni sehemu katika kukuza Kiswahili.

Kwa kumalizia, nimepata muarobaini wa changamoto hii. Muda si mrefu, nataka niweke platform ambayo itakuwa rafiki kwa jamii nzima. Itajumuisha jamii yote ndani na nje ya nchi kwa ujumla katika kukabiliana na changamoto hii. Itasaidia kufanya watu wafikiri na kupanua mawazo.

Ndani ya siku 7, nitawajulisha jina la platform.

Nashukuru sana. Karibuni sote tujiunge kukuza Kiswahili.
INASIKITISHA WALLAH
 
Back
Top Bottom