Naomba Nijuzwe kama ni kweli kuna Wamarekani weusi wanahamia TZ kwa wingi

Naomba Nijuzwe kama ni kweli kuna Wamarekani weusi wanahamia TZ kwa wingi

Hapana wapo wengi wanahamia
Mpaka sasa nimekutana nao kumi tofauti jana wanne mama na mabinti wa tatu. Pale Palm Village
 
unaongea kweli wapo weng sana. sio amerika tu kutoka ulaya pia.
 
watu hawaamini ila ndio ukweli unashangaza sana.

juzi naongea na jamaa mmoja anafanya kazi ubarozi,anakwambia hakuna kitu kigumu kama afisa wa ubarozi humo kuambiwa anatakiwa aondoke nyumbani muda umekwisha,huwa wanalia sana.
miaka ya nyuma alidhani ni sababu ya mazoea,ila hali imeanza kuwa inamshangaza maana hata wale walioinyesha kupakataa baada ya kuingia tu,hali hugeuka hivi siku ikifika.
Yule balozi wa marekani anaenjoy sana,anafika mpaka uswazi huko,siku ya kuondoka yule anaweza kulia 😀
 
Jamaa katembea nchi nyingi sana afrika,ila alipofika bongo kaamua kukita kabisa,na anawaleta wenzake kwa makundi
Huyo ndio amefika hivyo, kanunua mpka nyumba huko huko Zenji. Nafikiri ndio jamaa mwenye content nzuri huko youtube ukilinganisha na wengine.
 
Huyo ndio amefika hivyo, kanunua mpka nyumba huko huko Zenji. Nafikiri ndio jamaa mwenye content nzuri huko youtube ukilinganisha na wengine.
Kuna dada zao wanaolewa pia,hasa vijana wa chuga wanawahifadhi sana
 
Pengine ziara ya Obama iliwafungua macho.
 
Uhamiaji wanalifahamu hili? Je, hivi ndivyo sheria zetu za uhamiaji zinavyosema? Nitakuwa Wa mwisho kuamini haya.
 
Hao wamekuja kutalii tu, baada ya miaka 2 au 3 wanarudi kwao. Maisha ya bongo tofauti sana na kwao, ni wachache watakaoweza kuhimili. Afterall kwa kipi hasa walichokosa kwao?
 
Ndio wapo kibao sana tu hasa maeneo ya Kigamboni na Mikocheni, mi najua Wamarekani wengi weusi wanahamia Afrika kwa hiari yao na mapenzi ya kuipenda Africa. Wapo wengi Zaidi Ghana na Ethiopia nasikia. Kwa East Africa ni Tanznia na Kenya
 
Hao wamekuja kutalii tu, baada ya miaka 2 au 3 wanarudi kwao. Maisha ya bongo tofauti sana na kwao, ni wachache watakaoweza kuhimili. Afterall kwa kipi hasa walichokosa kwao?
wana enjoy sana tu mkuu, ingia youtube uonewanavyo hamasisha wenzao waje kuishi Tanznia au Africa. Wanasema maisha ni raisi mno bei za vyakula na kodi za nyumba ni cheap sana kulinganisha na hook kwao.
 
Umeelezea vizuri sana.
Japo pia walalamishi sana, nadhani wanataka kila kitu perfect.

Pengine serikali ifikirie kuwatengea eneo au wanaloweza kununua bila masharti ya kupitia TIC au kuwalegezea masharti, watasaidia kuleta mitaji ya fedha za kigeni wanapata changamoto ya kuishi nchini kwa muda mrefu wanapaswa kurenew visa kila baada ya miezi mi3 kwa kutoka nje ya nchi.
Ulalamishi unasaidia kutoka kwenye umasikini. Wewe uko hapa bongo hulalamiki lakini upo kwenye tatizo moja miaka nenda rudi
 
Back
Top Bottom