Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nashangaa unataka kupishana na gari la mshahara broHaya nifate upate kitu kizuri, umeyataka mwenyewe, hata Joannah atasema huyu legend mbona hivi...[emoji1787][emoji1787]
Huyu siyo huyo unayemsema weweJoanah kabakia kwenye chart kwa muda mrefu...nilijua uzuri umemwisha.
Lol Elli jamani🤣🤣🤣🤣umeamka na mimi leo eenh!! Nimekuambia unitafute!
Hahaha, hivi ujue mie uncle wako.Lol Elli jamani
Unaringa kiasi hicho?
Unanikazia mno😂
Uncle kitu gani bhanaHahaha, hivi ujue mie uncle wako.
Kwani unataka kupewa nini we mtoto, unanitafutia balaa...🤣🤣Uncle kitu gani bhana
Unaninyima nini?
Hichohicho ulichonacho😂Kwani unataka kupewa nini we mtoto, unanitafutia balaa...🤣🤣
🤣🤣🤣🙌Mkuu nibembelezeeni mwenzenu,namuhitaji mno na kama vipi mashemeji mtaniambia nini mnataka ili nikamilishe!.
Hahaha, nimekuambia uje, mbona unakuwa mwoga!Hichohicho ulichonacho😂
We vipi kwani😂😂😂😂
Sasa kweli hadi nikufate ElliHahaha, nimekuambia uje, mbona unakuwa mwoga!
Kwani ukinifata kuna shida? Wacha woga we mtoto...🤣Sasa kweli hadi nikufate Elli
Hebu jiongeze basi,nisifanye mimi kila siku
Si unifuate Elli lakini[emoji23]Kwani ukinifata kuna shida? Wacha woga we mtoto...[emoji1787]
Leo Nina wewe hadi mwisho🤣🤣🤣🤣🤣