Naomba nikutoe "OUT" Mrembo Joannah

Naomba nikutoe "OUT" Mrembo Joannah

Mkuu nibembelezeeni mwenzenu,namuhitaji mno na kama vipi mashemeji mtaniambia nini mnataka ili nikamilishe!.
1.Nataka uniambie mwandishi wa hiki kitabu ni nani?
2.Huyo baba anaitwa nani?
3.Huyo pembeni yake ni nani yake?na anaitwa nani?
4.Ni mtawala wa kabila gani?
5.Nini kilimkuta kwenye safari yake?

Hebu fafanua hii kwanza nione kama we ni Legend kama ERoni usije niletea shida huko Ngorongoro
Screenshot_20230717-004218_1.jpg
 
1.Nataka uniambie mwandishi wa hiki kitabu ni nani?
2.Huyo baba anaitwa nani?
3.Huyo pembeni yake ni nani yake?na anaitwa nani?
4.Ni mtawala wa kabila gani?
5.Nini kilimkuta kwenye safari yake?

Hebu fafanua hii kwanza nione kama we ni Legend kama ERoni usije niletea shida huko NgorongoroView attachment 2690519
Hayo madolari hujayaona kwani? Mbona unaniangusha tena😝😝
 
Hivi unajua wakati unazaliwa nishamaliza chuo we katoto[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Umri ni namba[emoji38]
 
Hii ni kwa ajili yako mtoto mzuri Joannah ,Kiukweli wewe ni mwanamke uliyeko moyoni mwangu,kuanzia huo unywele wako mrefu,lips,kiuno hadi guu la byeeeri.

Nimeandaa fungu zito kwa ajili yako mrembo na mtoko huu utakuwa ni kwa wiki nzima na kwakuwa ni mtoko mfupi basi tutaelekea pale hifadhi ya Ngorongoro kwenye Hotel nzuri ya SOPA LODGE.

Utapata huduma zote anazopaswa kupewa mwanamke na kwakuwa utakuwa umetoa muda wako kwangu kwa wiki nzima basi nitahakikisha kila siku nakulipa laki 5,hiyo laki 5 itakuwa nje na mahitaji utakayo kuwa ukiyahitqji ikiwemo,nguo,simu kali,viatu,mikoba n.k.

Jiandae mama.

Kwako Joannah

Naam

Ukitaka jimbo uwe na bajeti.

Hapa umenyooka rula mtupu.

Kila la heri kwenye hii project named Joanah
 
1.Nataka uniambie mwandishi wa hiki kitabu ni nani?
2.Huyo baba anaitwa nani?
3.Huyo pembeni yake ni nani yake?na anaitwa nani?
4.Ni mtawala wa kabila gani?
5.Nini kilimkuta kwenye safari yake?

Hebu fafanua hii kwanza nione kama we ni Legend kama ERoni usije niletea shida huko NgorongoroView attachment 2690519
Huuu muda wa kuanza kujibu maswali unatoka wapi?

Niulize kuhusu fedha lakini si haya mambo ya kitoto!

Akili yangu inakuwaza wewe Joannah haya mambo ya kina bulicheka waachie walala hoi huko mitaani!
 
Hayo madolari hujayaona kwani? Mbona unaniangusha tena😝😝
Ndio maana nataka kujua ukomavu wake,Je anamjua hata bulicheka?he ana uwezo wa kuvumilia nikipiga tukio nikapita na dollar zake?asije nililia mpaka anitangaze mitandaoni🤓🤓
 
Back
Top Bottom