Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 154,929
- 459,607
[emoji1787] Huyu tutambebaHata kwa kumvuta, hatuwezi kukosa pesa kizembee afu nyingi hivyo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787] Huyu tutambebaHata kwa kumvuta, hatuwezi kukosa pesa kizembee afu nyingi hivyo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1787] Huyu tutambeba
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌Mods kuna watu Wanafundisha watoto michezo mibaya humu, njoeni mtoe BAN.
Hotelini mkafanyaje?..
Hasa na mada kama hizi🤣Hahahaha, sijui kwa nini nimecheka namna hii🤣🤣🤣
Kifupi ni kuwa sipitwi🤣
🤣🤣🤣 Tulia dawa ikukolee 🤒Mmeamua kuniteta!
Marahaba mdogo wake,Hasa na mada kama hizi🤣
Shkamoo Kaka Eli
😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣Marahaba mdogo wake,
M
Kwa kweli huyo uliyempata nampa kongole sana!🤣
Aaah wapi! Huyo jamaa tumpe maua tu hakuna jinsi.[emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ni kazi tu zimenibana kaka Elli
Hakuna Cha niliyempata wala Nini[emoji1787]
Si unajua kazi za wahindi tunafanya kazi kama mazombie.,hata muda wa kupumua haupo
Ni kazi tu kweliAaah wapi! Huyo jamaa tumpe maua tu hakuna jinsi.[emoji1787]
Ni kweli hawa makaburu watatuuaNi kazi tu kweli
Kazi za wahindi tunafanya kama mizimu
Tukiacha ndo hivyo tunakuwa jobless[emoji38]
Watatuua wazima wazimaNi kweli hawa makaburu watatuua
Sijaelewa mdogo wangu, rudia ukichoandika🤣Watatuua wazima wazima
Hadi nataka kuomba pooo
Ila kaka Elli nimi nakutaka wewe eti
Nikupate
Ni hivyohivyoSijaelewa mdogo wangu, rudia ukichoandika🤣
Serious kabisa, sijaelewa.Ni hivyohivyo
Soma Tena
Huelewi Nini hapo?😆
DahSerious kabisa, sijaelewa.
*Ila kaka Elli nimi nakutaka wewe etiDah
Naona umeamua kukaza fuvu Kaka Elli [emoji23]
Dear mhasibu😅😅😅Hilo jina lako unatutishia tusicomment(tusitukane)? Usitutishe inawezekana hiyo hela huna, kama kweli unayo fanya kutuma mimi ndiye mhasibu wa Joannah😀