Naomba nikutoe "OUT" Mrembo Joannah

Naomba nikutoe "OUT" Mrembo Joannah

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Atajivuruga mwenyewe nilikuwa nashangaa nani kajitoa muhanga kuniwekea thread shangazi mimi

Anataka kukumbushia haamini km ulimuacha [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Akubali sasa kulipa me nampa sio shida zangu

Kabisaa alipe marejesho ndio mambo mengine yaendelee [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Jamani riba ni asilimia ndogo jamani!

Wewe sisi hatutaki yote hayo [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Shemeji atakupa za mtaji na hizo utapewa km bonus, lakin kwann dada hutaki tupate pesa wenzio?!! Hujui ukipata wewe na sisi tumepata jamani?!!!

Mimi hizi pesa zikitupita sikuelewi kabisaaa
Za DPW tumekosa mgawo na hizi jamani kweli?!![emoji17]
 
Wewe sisi hatutaki yote hayo [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Shemeji atakupa za mtaji na hizo utapewa km bonus, lakin kwann dada hutaki tupate pesa wenzio?!! Hujui ukipata wewe na sisi tumepata jamani?!!!

Mimi hizi pesa zikitupita sikuelewi kabisaaa
Za DPW tumekosa mgawo na hizi jamani kweli?!![emoji17]
[emoji1787] Akubali akatae tunampeleka
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Hatutaki kujieleza sanaa pesa mingiiii maneno kidogo

Aweke pesa mezani hakuna linaloshindikana kuzungumzika mbona [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom