Naomba nikutoe "OUT" Mrembo Joannah

Naomba nikutoe "OUT" Mrembo Joannah

Tena tulimuita akauchuna [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Koloni lake la zamani lilikuwa linataka kujirudisha dada akavunga km sio yeye
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Dada sijui kitu kwahiyo nilishushiwa mistari kutumia app huku hata notification sipati
 
Jamaniiiii[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]aliuchuna huyo chunuuuuu,akaona oooh ishakuwa balaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Nyie sijui kitu ni nani huyo
 
Shemeji kachafukwa pesa. Tena aje hapa atupe za vocha tumemuita dadaetu mpk kafika kutoka mafichoni [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Bila sisi asingekuja na huu uzi aliusoma vizuri
 
Halafu wewe,nitakuitia yule mtu wako aje akuchukue ,maana unaleta vurugu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Huyo aliyejitoa muhanga nani kwa shangazi mimi
 
Halafu wewe,nitakuitia yule mtu wako aje akuchukue ,maana unaleta vurugu🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣 yaani kaka kajua kujieleza yule khaaaaaaa

Tatizo hakutaja dau ndiomana shunie akauchuna
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] yaani kaka kajua kujieleza yule khaaaaaaa

Tatizo hakutaja dau ndiomana shunie akauchuna
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mjue mmenipa kazi ya kutafuta thread mpaka nimeipata

Sasa yule anaongea sana jamaniii
 
Mistari mingi hiyo balaa, sema shem anaonekana wa zamani kwanza hata pesa hana. Bora usivyopata hiyo notification [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Ataje id yake ya zamani ila dada umenichekesha sana
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mjue mmenipa kazi ya kutafuta thread mpaka nimeipata

Sasa yule anaongea sana jamaniii

Si umeona? Maneno mingi bila kuweka dau kweli?!! Ana kazi ya kutukumbusha vitu vilivyopita badala ya kuweka mzigo mezani [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Ataje id yake ya zamani ila dada umenichekesha sana

[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kajiliza mwenzio muelewe bas, ila pesa ndio sijui km zipo?! Tusije kuishia kula mihogo km kwa mFrance
 
Si umeona? Maneno mingi bila kuweka dau kweli?!! Ana kazi ya kutukumbusha vitu vilivyopita badala ya kuweka mzigo mezani [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Na vitu vyenyewe hata sivikumbuki au sijui alikuwaga na I'd nyingine yaani sijui ni nani
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Na vitu vyenyewe hata sivikumbuki au sijui alikuwaga na I'd nyingine yaani sijui ni nani

Anataka kukuvuruga tyuu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom