Naomba nikutoe "OUT" Mrembo Joannah

Naomba nikutoe "OUT" Mrembo Joannah

Hilo jina lako unatutishia tusicomment(tusitukane)? Usitutishe inawezekana hiyo hela huna, kama kweli unayo fanya kutuma mimi ndiye mhasibu wa Joannah😀
Kama unahitaji pesa yangu usiwe na shaka wewe pia unaweza kuwa kwenye msafara wa Ngorongoro,jambo la msingi ni mwanamke mwenzio akubali ombi langu tu,hayo mengine niachie mimi
 
Ila fungu alilowekewa dada yetu mezani sio la kitoto aisee 😂
 
Nawaza hii asubuhi nitasakata vipi hili kabumbu nipate msos mchana upande wa pili mwenzangu ana uwezo wa kuhonga lak 5 per day kweli life is not fwea
 
Sio mtego, dunia ya leo ni kuwa wazi tu mdogo wangu. Sema nikupe vigezo na masharti chaap[emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kumbe ulielewa ila unajifyatua
 
😂😂😂hivi ndivyo wanatumia lile gawio la bandari
 
Back
Top Bottom