Naomba nisaidiwe tiba ya harufu kali ya kikwapa

Naomba nisaidiwe tiba ya harufu kali ya kikwapa

Nimejaribu kutumia njia karibu zote za asili kama kujisafisha na limao, ndimu, maji ya ukoko wa ugali, mchele etc lakini hazijaweza nisaidia kitu.

Pole sana kama hizi zimedunda karibu kumuona mtaalam wa tiba za ngozi
 
Nimejaribu kutumia njia karibu zote za asili kama kujisafisha na limao, ndimu, maji ya ukoko wa ugali, mchele etc lakini hazijaweza nisaidia kitu.

Pole sana kama hizi zimedunda karibu kumuona mtaalam wa tiba za ngozi
 
Kama ni kikali sana huenda ikawa ni pepo mchafu yuko ndani yako. Hiyo nafasi aliyokaa pepo akikaa roho Mtakatifu hiyo harufu itaondoka na mambo mengi katika life cycle yako yatabadilika.
Mwanadamu hajaumbwa kwa makosa mpaka anuke kama fungo.
Kwa hiyo unadhani NI kiumbe gani hicho kimeumbwa Kwa Makosa ndio kinastahili kunuka??kunuka au kunukia NI Hali ya kila kiumbe hai ikiwemo mimea inategemea wewe ndio umetafsiri Vipi hiyo harufu uhisiyo,,,inaweza kunuka kwako lakini kwa upande mwingine na kwa mwingine ni kunukia vivyo hivyo inaweza kunukia kwako na kwa mwingine ni kunuka.
 
Shida yako iko ndani ya mfumo wako wa mwili wala siyo nje,dawa za kupaka nje haziwezi kuwa suluhisho la kudumu.Hapo mpaka upate dawa ya kunywa itakayoenda kudeal na chanzo cha tatizo huku ukijivukiza.Shida hii inatibika vizuri.
Pole sana.
 
Nina tatizo la harufu kali ya kikwapa kiasi cha kunikosesha amani na kutokujiamini mbele za watu.

Nimejaribu kutumia njia karibu zote za asili kama kujisafisha na limao, ndimu, maji ya ukoko wa ugali, mchele etc lakini hazijaweza nisaidia kitu.

Kuhusu suala la kuoga wala sina tatizo kutwa naonga mara mbili Asubuhi na jioni lakini hata nikitoka kuoga nikitembea dk 5 harufu fulan inaanza kusikika
kachek afya malaria, minyoo n.k kama iko itibu kisha anza mazoezi ya kufanya uvuje jasho la kutosha huku ukiyafakamia maji ya kutosha 🐒

nyoa vizuri nywele za kikwapa na sehemu nyingine, hali hiyo itapungua au kupotea kabisa ndani ya mwezi moja tu....

kwanza utakua mwenye afya unaevutia, smart na unae nukia vizuri hata ukipaka babycare tu 🐒
 
Nina tatizo la harufu kali ya kikwapa kiasi cha kunikosesha amani na kutokujiamini mbele za watu.

Nimejaribu kutumia njia karibu zote za asili kama kujisafisha na limao, ndimu, maji ya ukoko wa ugali, mchele etc lakini hazijaweza nisaidia kitu.

Kuhusu suala la kuoga wala sina tatizo kutwa naonga mara mbili Asubuhi na jioni lakini hata nikitoka kuoga nikitembea dk 5 harufu fulan inaanza kusikika
Utatoa nini nikikutibu
 
Tafuta deodorant ya shabu, kama upo dar nenda kariakoo maduka ya waarabu.
Waombe wakuelekeze jinsi ya kutumia.
Hii ni kiboko kama tatizo likiendelea muone daktari.
20240308_113553.jpg
hakikisha ukifungua unakuta hii
 
Chukua chumvi ya mawe mkono mmoja weka kwenye maji ndoo ndogo oga kutwa mara 1 au 2 kwa siku 7 au zaidi.
Pia ukiweza tafuta Salt of the Earth deodorant.
Kama hivi vyote na ndimu au limao vimeshindwa basi una maambukizi (infection) muone daktari akuandikie dawa za kumeza.
 
Nimejaribu kutumia njia karibu zote za asili kama kujisafisha na limao, ndimu, maji ya ukoko wa ugali, mchele etc lakini hazijaweza nisaidia kitu.

Pole sana kama hizi zimedunda karibu kumuona mtaalam wa tiba za ngozi
Asante sana nimekaribia, wapi namuonea uyo mtaalam
 
Kwa hiyo unadhani NI kiumbe gani hicho kimeumbwa Kwa Makosa ndio kinastahili kunuka??kunuka au kunukia NI Hali ya kila kiumbe hai ikiwemo mimea inategemea wewe ndio umetafsiri Vipi hiyo harufu uhisiyo,,,inaweza kunuka kwako lakini kwa upande mwingine na kwa mwingine ni kunukia vivyo hivyo inaweza kunukia kwako na kwa mwingine ni kunuka.
Nimekuelewa
 
Shida yako iko ndani ya mfumo wako wa mwili wala siyo nje,dawa za kupaka nje haziwezi kuwa suluhisho la kudumu.Hapo mpaka upate dawa ya kunywa itakayoenda kudeal na chanzo cha tatizo huku ukijivukiza.Shida hii inatibika vizuri.
Pole sana.
Asante kwa ushauri huu, nami ndio nimehisi nahitaji tiba ya aina hii, pa kuanzia nikaona nijaribu hapa
 
kachek afya malaria, minyoo n.k kama iko itibu kisha anza mazoezi ya kufanya uvuje jasho la kutosha huku ukiyafakamia maji ya kutosha [emoji205]

nyoa vizuri nywele za kikwapa na sehemu nyingine, hali hiyo itapungua au kupotea kabisa ndani ya mwezi moja tu....

kwanza utakua mwenye afya unaevutia, smart na unae nukia vizuri hata ukipaka babycare tu [emoji205]
Nitafanyia kazi ushauri huu
shukrani sana
 
Kwa mwanaume hamna shida ila kama we ni demu inakera kishenzi
 
Back
Top Bottom