Naomba nisaidiwe tiba ya harufu kali ya kikwapa

Naomba nisaidiwe tiba ya harufu kali ya kikwapa

Nimejaribu kutumia njia karibu zote za asili kama kujisafisha na limao, ndimu, maji ya ukoko wa ugali, mchele etc lakini hazijaweza nisaidia kitu.

Pole sana kama hizi zimedunda karibu kumuona mtaalam wa tiba za ngozi
Kikwapa ni dalili za mwili kulemewa na nuksi
 
Kila siku asubuhi kabla ya kwenda kuoga na ukishaoga paka rimao fresh ile ya kijan toka mtini kabisa fanya hivyo ndani ya siku 3 mpak 4
 
Ila kuna watu wananuka nguvu(kikwapa)unapishana naye unajiuliza huyu alikuwa shimoni ama vp.
Nakutakia kila la kheri kwenye vita hii kataa hiyo hali usikubali kunukanuka mtoto wa kiume..
 
Wewe tatizo lipo kwenye ulaji wako wa vyakula, pendelea kula matango na kunywa maji kwa wingi..!!
 
Ila kuna watu wana harufu za ajabu uvundo sijui huwa inakuwaje !!
Kunywa maji mengi na matunda ule kila siku hasa matikiti,tango ,nanasi na papai,apple.
Nyoa sehem zote uoge na sabuni ya dettol kisha uwe na scrub yenye harufu nzuri jisugue mwili vizuri kisha oga tena ,
Ukitoka jikaushe vizuri na taulo safi kisha paka deodorant za nivea 5000 ni nzuri kama una hela kuna za 25 kuendelea ,nunua lotion nzuri upake kisha vaa nguo safi,
Hakikishs maeneo unayolala pawe pasafi,nguo zako ziwe safi na unyooshe
 
Ila kuna watu wana harufu za ajabu uvundo sijui huwa inakuwaje !!
Kunywa maji mengi na matunda ule kila siku hasa matikiti,tango ,nanasi na papai,apple.
Nyoa sehem zote uoge na sabuni ya dettol kisha uwe na scrub yenye harufu nzuri jisugue mwili vizuri kisha oga tena ,
Ukitoka jikaushe vizuri na taulo safi kisha paka deodorant za nivea 5000 ni nzuri kama una hela kuna za 25 kuendelea ,nunua lotion nzuri upake kisha vaa nguo safi,
Hakikishs maeneo unayolala pawe pasafi,nguo zako ziwe safi na unyooshe
Sawa Dr. Dejane. Natumai ameelewa.
 

Attachments

  • IMG_3393.png
    IMG_3393.png
    2.2 MB · Views: 7
Ewaaaaa

nadhan mwili wake utakuwa umejaa sumu 😂😂😂😂 ndio maana jasho kali
Hapo kwenye vyakula ndio nahitaji ufafanuzi mzuri. Kwamba kuna vyakula tukila vinasababisha harufu ya jasho kuwa kali sana au inakuwaje? Na ni vyakula vipi? Au ni ugali?
 
Hapo kwenye vyakula ndio nahitaji ufafanuzi mzuri. Kwamba kuna vyakula tukila vinasababisha harufu ya jasho kuwa kali sana au inakuwaje? Na ni vyakula vipi? Au ni ugali?
Bana usinichoshe mim nishachoka
 
Back
Top Bottom