Naomba niwasaidie watangazaji wa vituo vyote vya redio namna ya kutamka majina ya Kijerumani

Hapa naona nikujisumbua tu, hao wazungu wenyewe hawana muda wa kupoteza kujifunza kutamka majina yetu.

Sent from my SM-A145F using JamiiForums mobile app
 
YYURGEN KLOP
ü ina sauti kama ya "yi". Inatamkwa like u with round lips. Unaweza kuangalia videos youtube andika German umlauts pronounciation. Zipo video nyingi utaona namna ya kukunja mdomo wako ili kutamka ä,ö na ü.
 
ü ina sauti kama ya "yi". Inatamkwa like u with round lips. Unaweza kuangalia videos youtube andika German umlauts pronounciation. Zipo video nyingi utaona namna ya kukunja mdomo wako ili kutamka ä,ö na ü.
Mwanangu nakubali hii lugha unaijua. Me nimeisoma kidogo, kwahiyo nadokoa kimtindo


Eg:-

Ich bin Number ni 26

Ich komme aus Tansania

Mein hobby ist lesen

Mein beruf ist.....

Ich bin.... Jahre alt




Mengine yatakuja tutakapokuwa tunaongea. Hapa nipo napiga hesabu zangu tu nidumbukie huko kwa wa "DEUTSCH" wenzangu [emoji1787][emoji3]
 
Tuko pamoja mkuu. Ukikwama popote niulize. Ila Youtube kuna videos nzuri za kujifunzia. Pitia pia website ya Deutsche Welle wana masomo. Google " Deutsch, warum nicht".
 
CCM inatamkwa schicem
KINANA inatamkwa chinerner
Chongolo inatamkwa tshonglo.
Jifunzeni kiswahili nyie nzi wa kijani msiwe kama wenzenu nyumbu kila kitu ni kupinga tuu....bahati mbaya wa mizambarauni hata hawajui zzk wao anataka Nini.
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…