Naomba niwe "devil's advocate" nikimtetea haszu anayejiita handsome

Naomba niwe "devil's advocate" nikimtetea haszu anayejiita handsome

Kuwa handsome sio dhambi. Ina faida kubwa mtu kuwa handsome. Hata ukienda interview ni rahisi kufikiriwa kuliko mtu mwenye sura ngumu na mwonekano usiovutia. Wanaosema u-handsome ni ushoga wana wivu dhidi ya wenzao. Tatizo ninaloliona ni ma-handsome kuvimba kichwa wanaposifiwa na kujikuta wanaongeza vikorombwezo vingine mwilini na kwenye lifestyle matokeo yake ni kuonekana shoga. Binafsi tangu utotoni nimekuwa nikitajwa kama mtu mwenye sura nzuri na mwonekano unaovutia ila kamwe sijawahi kupoteza muda kuanza kujipamba na kuleta ubishoo. Huwa nikienda kufanya marketing basi kama bosi wa taasisi ni mwanamke lazima anipe dili.
Inategemea na hiyo interview ni kuhusu kazi gani,

Mfano kwenye interview ya kazi ya ulinzi hawezi kuchukuliwa mtu laini laini mwenye sura nzuri,hapo atachaguliwa mwenye sura kavu kama aliyelamba ndimu.
 
Habarini,

Nimeona haszu akipondwa na wanaume wa jf kwa kujiita "handsome" wengine wakimtuhumu kuwa ni shoga etc.

Ingawa ni kweli baadhi ya wanaume handsome ni mashoga, lakini haimaanishi kwamba mtu akijiita handsome, basi yeye ni shoga. Hata biblia inatambua handsome men k.v Yusuph na Absalom mwana wa Daudi.

Wengine walisema uzuri wa mwanaume uko kwenye wallet, that's not entirely true, muonekano wa mwanaume (physical attributes) una-matter kwa wadada .

Ukweli mchungu ni kuwa asilimia 80 ya sisi wanaume hatuna muonekano mzuri wa kuvutia wadada (most of us men are not handsome & good-looking) ndo maana tuna struggle kupata wanawake. Tukipigwa vizinga mda mfupi baada ya kutongoza, tukiliwa nauli, tukiombwa hela mara kwa mara, tunakuja kulia humu jf, tunasema wadada wanapenda hela, wapo kimaslahi etc, ila tujiangalie na sisi, muonekano wetu unalipa? Au ni ule wa tia maji tia maji.

Mwanaume unakuta una sura ukicheka kama unalia, mnene una kitambi kama una kwasha koo, mwili una rangi mbili tofauti, halafu unamlaumu pisi kali ikikunyima namba, au ikikuomba hela mda mfupi baada ya kumtongoza, badala ya kujitathmini wewe mwenyewe in a very honest way, what's your sexual market value (SMV)

Pia nimegundua wanaume wengi humu jf wanachukia wanaume wenye muonekano mzuri kwa kuwaita mashoga au kwa kuwaponda kuwa muonekano wao is nothing bila pesa, which proves my point above kwamba most of us men aren't good looking.

Points nyingine labda Extrovert aongezee 😁
Lakin kwanini ajisifie hivyo? Anatafuta nini?
 
Mara nyingi watu mnaojifanya kuupinga sana ushoga huwa ndo mnafanya hivyo vitendo sirini. Ni upuuzi kwa mwanaume rijali kuwazawaza ushoga kwenye kila kitu.
Tuwe serious kidogo hivi kweli mwanaume unaanzaje kujisifia uzuri labda! Si ndo kujitangaza kwenyewe huko??

AF hamna binadamu mwenye sura mbaya mpaka muanze kujiona wa kipekee aana!

Kidume kujisifia uzuri huo ni ushoga tu hamna namna!.
 
Huu ndio ukweli, haiwezekani mwanaume rijali kila likiongelewa jambo ushakimbilia kulihusianisha na ushoga, inaonesha ni jinsi gani akilini mwake mawazo ya ushoga yalivyomtawala
Mna ajenda zenu nyie watu ndo mana hizi nyuzi hazikati! asaiv tunawapa makavu tu mkafie mbele
 
Genuine desire vs Negotiated desire.

Hapa ndio mahandsome zerobrain wanapookotea point kuzidi hustlers
 
Tuwe serious kidogo hivi kweli mwanaume unaanzaje kujisifia uzuri labda! Si ndo kujitangaza kwenyewe huko??

AF hamna binadamu mwenye sura mbaya mpaka muanze kujiona wa kipekee aana!

Kidume kujisifia uzuri huo ni ushoga tu hamna namna!.
Wewe ni shoga ndo maana muda wote unawaza ushoga.
 
Tuwe serious kidogo hivi kweli mwanaume unaanzaje kujisifia uzuri labda! Si ndo kujitangaza kwenyewe huko??

AF hamna binadamu mwenye sura mbaya mpaka muanze kujiona wa kipekee aana!

Kidume kujisifia uzuri huo ni ushoga tu hamna namna!.
mimi siamini hilo unalolikomalia wewe, nyie mnaopinga ndio mnakua wafuasi. haiwezekani kila kitu unahusianisha huko
 
mimi siamini hilo unalolikomalia wewe, nyie mnaopinga ndio mnakua wafuasi. haiwezekani kila kitu unahusianisha huko
Haya bandugu! Uzuri kila mtu na mtazamo wake we amini unavoamini tu ila taarifa ndo zinawafikia hivo!
 
ni kweli, hata wadada waosemaga sana mambo ya kinyume na maumbile ni hatar sana, mara nyingi ni wafuasi kabisa
Sana yani, sasa jambo la kuwasaidia watuletee kamusi ambayo inasema neno Handsome manake ni shoga, wasipoleta basi tambua akilini mwako 100% wana chembe chembe za ubwabwa
 
Back
Top Bottom