Naomba nondo kuhusu gari aina ya Subaru Forester XT

Mimi old model naikubali kwa kutoa sound halisi ya boxer engine. Ikiwa manual transmission ndio balaa zaidi unapovesha na kuvua gia kwa haraka haraka.

Kwa sound ile ya boxer engine naweza nisitoke kwenye usukani Dar-Bukoba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…