Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,743
chukua huyo mnyama asee.. utatia adabu wengi sana 😀😀😀Hio GT ila GTI kuanzia 20m unamiliki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
chukua huyo mnyama asee.. utatia adabu wengi sana 😀😀😀Hio GT ila GTI kuanzia 20m unamiliki
Chukua Toyota Land Cruiser Series 100 yenye injini ya 1HD-FTE. Ukitulia unapata iliyotumika Bongo kwa million 25.
chukua huyo mnyama asee.. utatia adabu wengi sana [emoji3][emoji3][emoji3]
Achana na habari ya wese, umeishakuwa mtu mzima wewe 😀😀😀. Hiyo utawachakaza sana kina Subaru hadi waite maji togwaaWese vipi mkuu haikati sana? Nataka nikiwa highway wasijaribu kukatisha mbele yangu [emoji23][emoji23][emoji23]
Babu twin turboMajesta 1UR206 uishindanishe , na subaru kweli mkuu ? 🙄🙄🙄🙄.. mbona uonevu huo mkuu
Mimi old model naikubali kwa kutoa sound halisi ya boxer engine. Ikiwa manual transmission ndio balaa zaidi unapovesha na kuvua gia kwa haraka haraka.Namiliki ile old model,twin turbo,dah!ile gari acha kabisa,huko road niliwahi kuzalilishwa na land cruser ya mkonge na v8,hamna mjinga mwingine yoyote aliekua anasumbua,kile kifaru kiko juu ya mawe mwaka wa pili sasa madogo walikiua,but najipanga nikirudishe road kwa ajili ligi tu 😅
mkuu unachapwa na hiyo twin turbo yako.. japo inakimbia hiyo sana.. ila kwa hiyo Crown inakulaza tu,.labda ukute dereva muoga.. inatoa HP ngapi Max ?Babu twin turbo
Hapana zipo zilizotunzwa vizuri. Utapewa mkweche kama unapenda plate namba, nyingi zipo namba A,B na C katika hali nzuri.Ilotumika na wabongo si itakua mkweche mkuu wabongo sio watunzaji kbsa
Unakuta kaisha fanyia matusi sana, hadi ina harufu mbaya.. 🙄🙄Ilotumika na wabongo si itakua mkweche mkuu wabongo sio watunzaji kbsa
hii asiwe na haraka sasa, ndio anaweza pata iliyo nyookaHapana zipo zilizotunzwa vizuri. Utapewa mkweche kama unapenda plate namba, nyingi zipo namba A,B na C katika hali nzuri.
Fuga ligi 1 na kina brevisSs wa fuga tunacomment wapi?😎
Nyie waheshimiwa hapa hatuwataki.. mtupishe 🤕🤕Ss wa fuga tunacomment wapi?😎
Fuga kumuweka ligi na Brevis ni sawa na kuitukana tusi Fuga tena la nguoni mkuu 😂😂😂Fuga ligi 1 na kina brevis
He he he heFuga ligi 1 na kina brevis
Wabongo wana summary judgement hatariFuga kumuweka ligi na Brevis ni sawa na kuitukana tusi Fuga tena la nguoni mkuu [emoji23][emoji23][emoji23]
Malaria iyoFuga ligi 1 na kina brevis
Safi. msalimie jafo afisin apoNyie waheshimiwa hapa hatuwataki.. mtupishe 🤕🤕
Analeta mdhahaFuga kumuweka ligi na Brevis ni sawa na kuitukana tusi Fuga tena la nguoni mkuu 😂😂😂